mamia ya washiriki wakiwa kwenye foleni ya kujiandikisha tayari kwa usaili
Kutoka kushoto majaji  Master J, P-Funk and Elihuruma Ngowi wakiwa klabu ya Voice of Tabora (zamani Klabu Rufita) kwenye radio ya Voice of Tabora (VOT) FM 89.0 wakiongelea kuhusu BSS Tabora 2009.

Washindi wa BSS Tabora (wenye T-shirt nyeupe) kutoka kushoto: Shaban Mrisho, Leah Julius, Rajab Miraj na Kayombe Khamis  wakiwa kwenye picha ya pamoja na Meneja Huduma na Bidhaa wa Vodacom,  Elihuruma Ngowi (kati) mara baada ya kutangazwa kuwa washindi Jumapili, Mach 15, 2009.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. ILE KESI YA MAUAJI YA WATOTO WAKATI WA SIKUKUU YA IDI KATIKA KLABU YA DISCO, YALIYOTOKEA TABORA ILIISHIA WAPI? NINAKUMBUKA BAADA YA MAUAJI KUTOKEA JESHI LA POLISI NA VYOMBO VYA SHERIA VILICHEMAKA KAMA BIA CHAFU LAKINI BAADA YA MUDA VIKAWA FLATI! NDIYO KUSEMA KESI ILIYEYUKA? KWANI WANANCHI HATUJAISIKIA TENA MWAKA WA PILI SASA.

    ReplyDelete
  2. wale wamiliki mpaka leo wapo rumande upelelezi unaendelea sema ni ukiritimba wa serikali tu mara file iko kule mara huku basi tu kila mtu aweze kujipatia ulaji ila ni serikali tu uchunguzi miaka, kuna uchunguzi gani hapo wizi mtupu!!!! mdau mkereketwa tbr au
    Makao makuu ya asali duniani, nani ana bisha.

    ReplyDelete
  3. hawa huwa wanapanga mshindi hivi hawashangai washindi wao wote huwa hawawiki zaidi ya mwaka, wanakuwa flat

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...