FLAVA NITE ni usiku unaoletwa na madj wa ukweli toka katika familia moja wakiongozwa na DJ BONILUV, akifuatiwa na DJ VENTURE na DJ ACKAY. Mikwanja yote mipya na OLD SKUL utaipata Jumamosi hii nia kiiiiila Jumasi hapo BULLDOGS CLUB!

Ni kwa muda mrefu wapenda burudani wamekuwa wakiimiss hii,wenyewe wanasema hii ni tofauti na kama hutaki kukubali basi we fika BULLDOGS (masaki) meter kama 500 hivi kutokea international school ya masaki ndipo utaamua usuke ama unyoe. Yaani ile ya La Taverna unaambiwa ni cha mtoto!

DA MOUTH HAZ SPOKE
C'YALL THERE!


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...