FLAVA NITE ni usiku unaoletwa na madj wa ukweli toka katika familia moja wakiongozwa na DJ BONILUV, akifuatiwa na DJ VENTURE na DJ ACKAY. Mikwanja yote mipya na OLD SKUL utaipata Jumamosi hii nia kiiiiila Jumasi hapo BULLDOGS CLUB!
Ni kwa muda mrefu wapenda burudani wamekuwa wakiimiss hii,wenyewe wanasema hii ni tofauti na kama hutaki kukubali basi we fika BULLDOGS (masaki) meter kama 500 hivi kutokea international school ya masaki ndipo utaamua usuke ama unyoe. Yaani ile ya La Taverna unaambiwa ni cha mtoto!
DA MOUTH HAZ SPOKE
C'YALL THERE!
bonn luv, msalimie mpoki....
ReplyDelete