Waziri wa Habari ,Utamaduni na Michezo Capt.George Mkuchika akifurahia zawadi aliyopewa na Mshauri wa masuala ya Utamaduni wa Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislam ya watu wa Iran Dr. Mostafa Ranjbar Shirazi mara baada ya kumtembela ofisini kwakwe leo jijini Dar es salaam. Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...