Home
Unlabelled
msondo ngoma inatisha!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
AHSANTE MICHUZI KWA TAARIFA HII YA MSONDO KWELI HAWA JAMAA WANATISHA HASWA WANAMUZIKI WAO WA MUDA MREFU SANA NDIO UZURI WA KUUTAWALA MUZIKI SIO MARA HAPA MARA PALE ALAFU HAKUNA MAFANIKIO PIA WANAOHAMA WANAHAMA KIMASILAHI JAPO SIONGEI HIVYO
ReplyDeleteHuu siyo Msondo. Msondo umekumbwa na nini? Msondo usiyo na maadili, adabu, heshima wala hadhi ya Msondo siyo Msondo.
ReplyDeletemi napenda sana msondo kwa sababu walikuwa wana fanya mabo ya kiutu uzima sana na wanacheza kwa adabu na wanaimba kwa adabu lakini mi nawaona wanataka kushindan na akudo na twanga pepeta , warudi wafanye muziki ule wa zamani sisi wapenzi wao hatukuwapendea hao akina dada walio vaa skin tait na hatupendi
ReplyDeleteMichuzi, naomba unisaidie jinsi ya kuwa naingia katika web hii ya musiki, kwani sasa kila nikifungua blog yako nateremka na kubofya penye msondo. najua baadae hii linki itapotea, nifanyeje ili hata hapo baadae niwe naingia katika muziki huu? Nimefurahi kuona miziki mingi tuu ya Tz, nimfurahi sana!! Udumu Michuzi! Mkuu wa wilaya!! Mafisadi ZIIIII!! naona na mwakyembe anataka kuingia kwa mafisadi! jamani!!
ReplyDelete