Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein akizindua Jengo la Uwekezaji Vitega Uchumi la PPF Plaza jijini Mwanza jana
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa PPF Mh. Ramadhani Hijja akimkabidhi Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein Picha yenye Ramani ya Jengo jipya Uwekezaji Vitega Uchumi mara baada ya kuzinduwa rasmi Jengo hilo pamoja na kuweka jiwe la msingi Ujenzi wa Hotel ia PPF jijini Mwanza.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ramani ya jengo ni nzuri kila la kheri na mafanikio wakazi wa Mwanza inafurahisha kumuona Makamo wa Rais amefika hapo na kuzinduwa hyo shuhuli .Hivi Dr Ali M shein ametokea Pemba sehemu gani tunasikia tu kuwa amezaliwa na kukulia pemba yaani kwao nipemba lakini nilikuwa natakakujuwa jina la hiyo sehemu anyotoka Asanteni

    ReplyDelete
  2. Hiyo picha ni kazi nzuri ya masoud Kipanya yaani amelitoa jengo kama lilivyo. Huyu jamaa ni mchoraji mzuri sana mimi mwenyewe nilikuwa kwenye kamati ya maandalizi ya hiyo sherehe na kila mwanakamati aliikubali kazi ya msaanii huyo.Big up Kipanya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...