Home
Unlabelled
waziri wa ardhi wa namibia atembelea kisarawe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kaka mmepoteza muda wenu cuz mtaondoka na pumu na mafua kutokana vumbi la hayo mafaili hawa watu lini wataanza kukeep data kwenye computer...hii fedhea hadi makao makuu ya wizara karibu zote bado kuna makabrashi kama hayo...vinatia uchungu
ReplyDeleteAnony wa juu uko very right. Hawa jamaa walikosa nchi nyingine ya kwenda kujifunza? Pole yao kwa kupoteza muda kwa kweli mbona noma?
ReplyDeleteUnazungumzia kucomputerize data za Kisarawe lini leo? Hizo ni ndoto kwa sasa. Juzi nimeenda kuomba residence permit idara ya kazi nusura nilie maana mlangoni chini kwenye floor nilikaribishwa na mafile kibao. Hawa jamaa kuomba na kurenew permits ni kitu kimoja kwani hawawezi kutrace back records za nyuma. So unaporenew ni kama vile unaomba upya. Yaani ni aibu mpaka basi na hiyo ni makao makuu ya wizara na ni very sensitive office haiko computerised sembuse huko kisarawe. We have a long way to go.
Mafaili yakiondoka ina maana ulaji tena hakuna. Maana hua unaambiwa makusudi kua faili lako halionekani lakini toa kitu kidogo tuu hata linapoibukia hujui!!!.
ReplyDeleteTanzania Tambarare!
ReplyDeleteWe unaongelea kisarawe??? Airport Dar unapoingia na mzigo wakitaka kukucharge tax zao lazima wafungnue mavijitabu yao kureffer, sasa ikiwa hapo hawajaona umuhimu wamatumizi ya computer itakuwa kisarawe??