
MABEKI WA YANGA NA KIPA WAO JUMA KASEJA WOTE WALIPELEKWA SOKONI, KISHA HARUNA MOSHI 'BOBAN' AKATILIWA PANDE TAMUUU....

MABEKI WA YANGA NA KIPA WAO JUMA KASEJA WAKIKIMBILIA GOLINI WAKATI BOBAN AMEBAKI YEYE NA NETI

KABLA MABEKI WA YANGA NA KIPA WAO HAWAJAKAA SAWA BOBAN AKAACHIA NDUKI NJE KIDOGO YA SITA.

KIPA JUMA KASEJA ALIJITAHIDI LAKINI WAPI...CHUMA KIKATINGA WAVUNI
HIVYO HADI SASA SIMBA 2 NA YANGA 1


michuzi mskini mnyongeeeeeeeeeeeee mtasema kaseja kafungisha basi sababu katoka simba, sheikh yahya kachemsha utabiri.
ReplyDeletehiloooooooooooooooooooooooooooo
ReplyDeletesheikh Yahya alitabiri vipi?
ReplyDeleteKaseja hajafungisha.. hajui kudaka hapo ndipo mtaona Maximo bonge la kocha.
ReplyDeleteHivi Kaseja hakutazama mchezo wa nusu fainali ya Chelsea Vs Arsenal ya kombe la FA Jumamosi 18/04/2009 ? ambapo Arsenal walilala 2-1.
ReplyDeleteKipa wa Arsenal alitoka kuwafuata mabeki wake na matokeo Drogba akafunga kirahisi bao la pili.
Hivi mchezaji Tz unapotazama mechi za ulaya ktk TV huwa hampati mafunzo ya kuyafanyia kazi viwanjani?