ni mwaka wa 1988 ambapo mtangazaji maarufu wa redio tanzania wakati huo julius nyaisanga a.k.a anko J akiwa na rafiki yake kwenye shoo ya vijana jazz ukumbi wa vijana. anko J, ambaye hivi sasa ananguruma akiwa na Idhaa ya Kiswahili sauti ya Ujerumani, ni mmoja wa watangazaji waliokuwa mstari wa mbele kukuza muziki wa kibongo. asante mdau mario nkwera kwa taswira

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. una rafiki mrefu kwenda chini mwaya

    ReplyDelete
  2. How could anyone forget him? He hosted a night time program - can't remember the name - but it was said to bring the best of: Miziki ya bakulutu (or was it bakarutu?), miziki ya kunesanesa and miziki ya kuruka majoka...

    ReplyDelete
  3. kapinga UKApril 25, 2009

    mungu akubariki uncle J,kipaji chako hakiwezi kuachwa kikaoza na watu wenye roho ya kwa nini,sina hakika uko wapi lakini habari ni njema juzijuzi nilikuwa bongo maneno kibao ho katingisha kibiriti cha bi mkubwa kakikuta kimejaa...msalimie DOTO.

    ReplyDelete
  4. Nampenda J Nyaisanga

    Kiswahili chake kizuri

    Anatumia R na L kama itavyotakiwa kutamka.

    Sio wengi wao wanavyosema Dar mpaka Molo

    ReplyDelete
  5. Huyo mshkaji mfupi kwenda chini aliyesimama pembeni mwa uncle J ni Omari Omari wa TTCL makao makuu.

    ReplyDelete
  6. "Ni Wenu Uncle Jay Nyaisanga ukipenda Super Tall" -Julius Nyaisanga

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...