
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akijiorodhesha kwenye Kitabu maalum cha Wageni katika Ofisi za Ubalozi wa Tanzania-London.
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania Uingereza, Mama Mwanaidi. S. Maajar akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania Jenerali Davies Mwamunyange.
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Mwanaidi. S. Maajar (chini shoto) na Mkuu wa Majeshi Tanzania Jenerali Davies Mwamunyange. Nyuma toka shoto ni Capt. CA Ng’habi, Col. P.Mrope, Bwana David Nginilla, BG. PI Mella, Bwana Kiondo, Dada Caroline Chipeta, Bwana, Idrissa Zahran, BG. KG. Msemwa, Bwana Sylvester Ambokile, LT. AP Mutta, na Bwana Othman Mashanga.


ziara hizi ni nzuri na naamini zitaleta changamoto kiutendaji ndani ya jeshi letu la wananchi (JWTZ),naamini wakubwa wana upeo na exposure ya kutosha kufanya mambo ya kisasa zaidi.ushirikiano uzidi na wajeshi wetu watoke kwa wingi,iwe mafunzo,ulinzi hata tour!!-itaongeza standard kwa nyanja zote-wakubwa fanyeni iwezekane...!!!
ReplyDelete"mwanakijiji"
Hi,dada Caroline habari za siku nyingi nimie bibi yako wa Kimara email:batamwarwamugila@yahoo.com msalimie Victor pamoja na mjukuu wangu Lulu
ReplyDelete