
Hawa ndio washiriki wa kipindi maarufu cha TBC cha Maisha Plus waliofanikiwa kuingia katika kumi bora, mmoja kati yao ataondoka na kitita cha shilingi milioni kumi Jumapili ya April 26.
Mdau unaweza kuwaoigia kura kadri uwezavyo na upendavyo. Majina yao na namba ni kama ifuatavyo:
Abdul 32,Maulid 33,Upendo 18 ,MOdesta 37,MOshy 19,Charles 11,Steve 14,Boniface 20,Hamis 23 na Teddy 36.
Kwa wanaotaka kupiga kura kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi wanapiga kwenda namba 15522 na kwenye mtandao watembelee maishaplus.g5click.com.
Kwa niaba ya timu nzima ya Maisha Plus nawashuru kwa ushiriakiano mliouonyesha tangu mwanzo mpaka sasa. Mungu awabariki sana.
Julieth Kulangwa
0717 551355


Hellow,hongereni sana kwa kutayarisha hiki kipindi.Kama washindi wangekuwa wawili basi Abdul (32)angekuwa wa kwanza na Charles (11) wapili.lakini kwakuwa mshindi ni mmoja tu. naomba Charles apewe hizo mil 10 zake.please. Pendo hafai kabisa kuishi na jamii.mmbeya yeye,mwongeaji yeye.mchonganishi ni yeye kila sifa mbaya anazo yeye.
ReplyDeleteNaungana na mtoa maoni wa kwanza. Charles anastahili, yaani mpaka niliota kuwa charles ndiye aliyechukua ushindi.
ReplyDeleteHaaa haa haa ngoja nicheke kimaisha plus mie.Naungana na mtoa maoni wa kwanza na pili,ebwana eeh Charles anatisha apewe hizo mil 10 zake.
ReplyDelete