Home
Unlabelled
libeneke la DECI mji kasoro bahari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KAKA MICHUZI, HII DECI KUSEMA KWELI NI MRADI WA WAKUBWA NA WAKINA YOHANA MASHAKA AMBAO NI WEZI WA MCHANA WA WOSTRITI AMBAO MAMBO YAO MEREKANI IMEHALIBIKA SASA WAMEHAMIA TANZANIA KUWARUBUNI WALALAHOI. YEYE ANASHINDWA KUTOA USHAURI MZURI KWA SABABU HAJASOMA MUZUMBE UNIVASITI. ANGEKUWA MUTU WA MUZUMBE ANGEFANYAGA MAMBO YA MAANA ZAIDI YA KUWEKA MABANGO JUU CHINI CHINI JUU NA MATANGAZO WAKATI HERA ZETU AMEPELEKA USA.
ReplyDeleteMichu tafadhali futa comment juu hapo
ReplyDeleteWaliopanda mbegu,naona mbegu zimeliwa na panya!!Hili ni funzo kubwa kwa wadau tusiwe tunakurupukakurupuka kwenye hiv vimichezo vya kiujanja ujanja tu,Tusipende faida za harakaharaka bila ya kufanya kazi!!!chura fantastic chura bombastic churaaaaaaaaaaaaa!!!!
ReplyDelete