Home
Unlabelled
marathon ya kusaidia mapambano dhidi ya malaria yafana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi Filbert Bayi ameshindwaje kuwapandisha watanzania wengine kwenye riadha. Mbona haigi mfano wa wenzetu wa Kenya hivi ni mbinafsi au ni ukiritimba wa nchi yetu tuu. Naomba jibu kwa walio na ufahamu wa hili suala jamani....mmmmmmmmmmmm!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteMdau wa kwanza usifikirie kuwa Kenya wanapandishina,wenzetu wana ari ya kuwa wakimbiaji.Wanapenda kukimbia si kama sisi tunang'ang'ania soka ambalo linatupiga bao vile vile.Kama sikosei Filbert Bayi alianzisha program za kukuza vipaji lakini ni watanzania wangapi walishapeleka watoto wao? Vile vile watanzania tuna kasumba kuwa michezo haina faida maishani na hili ndilo linaloturudisha nyuma.Wazazi wengi wanawa-discourage watoto wao kuna watoto wengi wana vipaji vya michezo mbalimbali lakini wazazi ndio wanakuwa vizuizi vya kutokukuza vipaji hivyo.
ReplyDeleteMhu! huyo namba 1759, itabibi anipatie namba yake nikamfundishe mibio ya kufa mtu!
ReplyDeleteMulox
Namsifu sana huyu mbunge haipiti wiki kuna habari ya kitu akifanyacho jimboni kwake sio wenzangu namimi mpaka uchaguzi ukaribie ndio waonekane jimboni,big up mzee wa kulipua mabomu.
ReplyDeletembunge anahitaji marathon kweli kweli maana bp anamkaribia...
ReplyDeleteHongera sana Mbunge !kwa style mpya ya mavazi ya michezo,suali ya khaki kweli wewe mjeshi
ReplyDeletesafi sana
ReplyDeletembunge slaa vipi suruali iyo na mokasi mbioni???
ReplyDeletedada 1759 dhaaa!!acha basi "kuhamasisha watu"sawa mtoto mzuri eeeeh,tukikushika km uyo annon apo juu asemavi!?utalia sana