Habari yako kaka, 
Naomba uwape hii wadau,
Mimi ni mtanzania natafuta scholarships za Europe hasa Msc in Finance na zingine zinazoendena na hizo.  Jamani naombeni msaada wadau jinsi wengine wanavyo pata na michongo jamani nikasafishe lugha 
 mnaweza kuwasiliana na mimi 
Email:
nejaphet2@yahoo.uk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. Scholarship? Scholarship ni Mikono yako na nguvu zako huku. Piga box pay for yourself.

    ReplyDelete
  2. Wasiliana na Makulilo Jr. ndiye mtaalam wa michongo hiyo lakini na wewe uwe umejiandaa angalau kwa pesa za stempu na kulipia kwenye internate cafe.

    ReplyDelete
  3. scholarship zipo,ila kwa sasa una muajiri?yaani umeajiriwa?ni kigezo muhimu kinachotakiwa

    ReplyDelete
  4. http://www.unibocconi.eu/wps/wcm/connect/SitoPubblico_EN/Navigation+Tree/Home/Schools+and+Programs/Graduate+School/Prospective+Students/?lang=en

    http://www.sdabocconi.it/en/mba_and_master/mcf

    ReplyDelete
  5. angalia hapa
    www.makulilo.blogspot.com

    ReplyDelete
  6. scholarship ya Msc Finance? Ili ujifaidishe mwenyewe, piga kazi. kama unataka udhamini tafuta ya kutumikia jamii.

    ReplyDelete
  7. Habari,
    Nimesoma tangazo/ombi lako kwenye blog ya Michuzi khs kutafuta masuala ya scholarships ya mambo ya Finance.

    Nimekutumia personal e-mail ktk hiyo E-Mail uliyoandika hapo nejaphet2@yahoo.uk lakini nimepata failure notice.Naomba uniandikie kwenye e-mail yangu msauzi101@yahoo.com AU ernest_makulilo@yahoo.com tuweze kusaidiana kupeana hizi habari uanzie wapi ktk kutafuta scholarships.

    Kabla sijaongea chochote kile, nakuomba uwe na desturi ya kupitia hizi blogs mbili, ni maalumu kwa masuala hayo ya scholarships. Moja ni www.makulilo.blogspot.com na nyingine ni ya Da Subi
    www.nukta77.blogspot.com

    Mimi ni MAKULILO, Jr. Kiasi fulani najua mambo ya scholarships yanaendaje na kushirikiana na watu kuwapa taarifa inakuaje, na pia nini cha kujiandaa na kuweza kufanya good option.Ni msaada wa bure huu wa kushauriana.Kama hutojali, ni vyema kwanza ningejua sifa zako za kielimu kwa maana ya bachelor's degree yako umesoma kozi gani, chuo gani na GPA yako ni ya ngapi?Hivi vitanisaidia kukuelekeza uanzie wapi na umalizie wapi.Pili ninapenda kujua ur professional experience...umeshawahi kufanya kazi ktk anga zipi ili kukupa uzoefu au ni graduate bado hujaanza kazi??Na kitu kingine ningependa kujua kama upo Tanzania au nchi gani.Maana kuna scholarships za ulaya kama umeshawahi kuishi nchi fulani huwezi pewa scholarships.

    Nadhani baada ya kujibu mail hiyo, tutajua nini tushaueriane.

    Siku njema, natumai utasoma hizi comments na kuweza kuwasiliana nami, na pia kufuata mawazo ya watu wengine hapa ambayo ni ya msingi kuyapa kipaumbele.

    MAKULILO, Jr.
    www.makulilo.blogspot.com

    ReplyDelete
  8. Jamaa anatafuta shule kweli aua anataka kulowea nje? maana anaongelea mambo ya kusafisha lugha. awe serious, kama ni shule watu wakusaidie. lakini kama unataka kwenda nje kwa sababu tu umesikia watu wanakwenda huko (Maana waafrika tunapenda sana kukimbilia nchi za wenzetu) basi sema pia ili watu wasaidie kukuonya kuhusu ndoto yako

    ReplyDelete
  9. Majitu mingine huku yana roho mbaya kama majizi,kama huwezi kumsaidia si uache kuandika,yeye kaomba msaada jibu ni yes or no..au jibu hujui...kubeba box si umependa wewe!!yeye anataka kusoma acheni roho za korosho

    ReplyDelete
  10. watu mna roho za kwanini khaa???

    asante makulilo nafikiri na wengine zitatusaidia izi links na kuwasiliana nawe pia pindi tukiitaji kujiendeleza kwa ma-PhD

    asante

    ReplyDelete
  11. Cheki ni hii site vilevile ina links kibao za scholarship, mi nimepata yangu kupitia hapa: www.varsitycollegetz.ning.com

    ReplyDelete
  12. Tembelea www.taaluma.blogspot.com kuna scholarship zimeorodheshwa uangalie inayokyfaa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...