binti machozi ameibuka na libeneke lake linaloenda kwa jina la
na anakukaribisha mdau umtembelee. hongera jide kwa libeneke

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 19 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2009

    hongera mama, nimekusoma.hayo ndo maendeleom ya wanawake yanayotakiwa

    its Neyma

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 19, 2009

    Good!
    Siku hazigandi bint Machozi, kaza buti Mungu atazidi kuzibariki kazi za mikono yako.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 19, 2009

    kwa kweli picha imekufanya bomba. Nadhani hata wewe huamini kama ni picha yako. idumu photo make over.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 19, 2009

    hapana lady JD ni mzuri ila alikuwa hajijulii makeup alikuwa anajibandika tu sasa kapata mwalimu mzuri. yote heri hongera dada

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 19, 2009

    libeneke limeenda shule na lakibunifu, kaza buti mama

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 19, 2009

    Umembeba haraka sana kaka si kawaida yako au kwa vile ni nanihii na we ni nanihii kaka?
    haya bana kila la heri
    Wabillah Tawfiq

    ReplyDelete
  7. David VillaMay 19, 2009

    Hongera dada Judy.Good move tutatembelea libeneke lako muda c mrefu.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 19, 2009

    jamani picha ya Binti machozi imetoka sana tofauti na yeye alivyo. jikwatue mama labda Gadna atatulia maana kwa vicheche mh!
    Kaza buti Mama

    Mangi wa K'koo

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 19, 2009

    kwanza nampa hongera binti machozi kwa kuanzisha blogspot yake. huu ni mfano mzuri kwa wanamziki wetu wa kutoka tanzania kuonyesha sio kwamba wanaweza kuimba tu bali wanauwezo wa technologia. Ila jambo moja ningependa kumshauri binti machozi ni kwamba amewahi kutangaza blogspot yake. Ni vyema angesubiri mpaka iwe na contents za kutosha ndio aitangaze. However, well done Lady jaydee....

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 19, 2009

    hongera sana Jide mimi ni mpenzi wa nyimbo zako nimefurahi kwa kufungua blog yako nyimbo zote ni nzuri sana tena sana lakini zaidi wimbo ulionikosha wa siku hazigandi ni kweli kila mtu anadhambi hakuna aliye msafi ukisema hapa nafurahi sana maana binadamu hawachelewi kumhukumu mtu, Jide unakipaji Mungu kakujalia nakuombea kila la heri na Mungu akusimamie kwa kila kazi yako mamaa songa mbele . Dada Betty

    ReplyDelete
  11. mimi nilifikiri hili libeneke ni kwa ajili ya shughuli zake tours, picha zake, n.k???

    ReplyDelete
  12. huyu binti katulia na anajua anacho kifanya, zaidi ya hapo kwa sasa anazungukwa na watu wa maana kama vile huyu barozi wa nanihii si una jua ni mama m'moja lakini tumbo mbalimbali, hivyo hana room for mistakes any more, soma profile yake ujionee- go girl. Dada J hiyo makeup imetulia nadhani sasa kweli umejua the right type of your make up .
    big up

    ReplyDelete
  13. huyu binti katulia na anajua anacho kifanya, zaidi ya hapo kwa sasa anazungukwa na watu wa maana kama vile huyu barozi wa nanihii si una jua ni mama m'moja lakini tumbo mbalimbali, hivyo hana room for mistakes any more, soma profile yake ujionee- go girl. Dada J hiyo makeup imetulia nadhani sasa kweli umejua the right type of your make up .
    big up

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 19, 2009

    Wewe Mangi k'koo macho yako yana makengeza,eti unasema picha imetoka tofauti na yeye alivyo,lady jaydee yuko kama anavyoonekana hapo kwenye picha na mtu yeyote ukimuonyesha picha hii ukamuuliza huyu ni nani atakuambia Lady Jaydee,sio kama wewe picha yako ya kijijini wakati una kwashiakor inatofautiana na ya kariakoo baada ya kupata vyepe!!!! Bravooo Jay dee

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 19, 2009

    Mwacheni Jide awe Jide na hata Michuzi akiwa kaka ake kuna nini? tunajifunza kupitia kwa wakubwa zetu ati we ulijua kunya chooni kabla ya kukalishwa ebooo hata blog ikiwa haijitoshelezi ndio mwanzo atakua tu, big up saaana tu

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 19, 2009

    Tatizo jide wewe tayari umeshakuwa model kwa wadada wa kibongo, mambo kama haya inadhihirisha wewe ni kiwango , endelea hivihivi kukandamiza na kudumisha mafanikio yako kwani wewe ndivyo ulivyo, kuongoza kwa mifano ndiyo zako.
    Keeep it up,
    Mdau
    Nelsprit
    RSA

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 20, 2009

    jamani km kuna mwanamziki anae jieshimu hapa tanzania km judy kweli sijamuona kwanza ni mwanamke anae jiamini , pia anajua kulea mume kabda sijamaliza sifa zote naomba aachwe msimchafue binti machozi wa watu , wanamziki kibao wa kike hapa ni kashfa tuu hawaolewi wakatulia hebu mjaribu kuiga manzuri ya binti machozi .. hata km aa matatizo yake hakuna binadamu aliye kabili bali mengi manzuri ya jidee yanajieleza yenyewe

    pia kwa kweli kwa sasa binti machozi yupo juu km nyimbo yakee alivyoo iimba isitoshe bidada ww kwa sasa unatisha kwa mavazi na hata kujiremba kweli sikuhizi jidee anapendeza unapendeza mama ww kazi buti waache wanaokusema vibaya wasome nambaaa tuu kwa nyuma ww mbele kwa mbele ...nakupenda sana huwa sikosagi kwenye makamuzi yako kila wiki UPO JUUUUUUU MAMA

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 20, 2009

    bora umeiondoa ile picha ya mume wangu kwani aliondoka nyumbani hakuaga paka nikamuona kwenye blog yako. maana pangekuwa hapakaliki. halafu alivyo kukumbatia??!!!

    ReplyDelete
  19. mamaa uko juu.wasiache kuongea kwani maneno jadi yao, but to me your among the few strong women,sijawahi kukuhate and i dont expect to do so. keep it up mumy your da best.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...