Hosted by York University Swahili 2000 Students
When: May 23 2009
Time: 2:30-6:00pm
Where: 953 Gerrard St. East
(Pape Ave and Gerrard St East, at the Matty Eckler C.R.C)
When: May 23 2009
Time: 2:30-6:00pm
Where: 953 Gerrard St. East
(Pape Ave and Gerrard St East, at the Matty Eckler C.R.C)

Price: No Cover Charge.
Food and Beverages price range $0.50 – 4.00
or
Ni Kiswahili hakuna swahili
ReplyDeletemmekosa kazi hebu rudini nyumbani nyie wakimbizi wa kiuchumi!! hii ni pamoja na wale walioko nchi nyingine.
ReplyDeleteHAYA TENA, SHIME WATANZANIA MLIOPO CANADA. JITOKEZENI BASI KWA WINGI ILI KUITANGAZA LUGHA YETU TAMU YA KISWAHILI AS THE NUMBER ONE LINGUA FRANCA IN AFRICA. WEKENI PEMBENI TOFAUTI ZENU ILI MUWAONYESHE CANADIANS KWAMBA YOU ARE ALIVE AND KICKING.
ReplyDeleteKwa anonymous wa May 20 5.14 AM - Swahili ni English na Kiswahili ni kwa lugha ya Kiswahili, sawa na kusema English kwa lugha ya Kiingereza na Kiingereza kwa Kiswahili. Hicho chama chao kina jina la Kiingereza kwahiyo ni lazima waseme Swahili na sio Kiswahili.
ReplyDeleteKwa Anonymous May 20, 2009 7:55 PM umemjibu mwenzako vizuri, karibu nimjibu lakini hakuna haja sasa. Mara nyingi naona watu wetu hudhani utumizi wa "swahili" kwa lugha ya kiingereza ni makosa na kumaanisha wanaotumia "swahili" katika maandiko yao ya kiingereza, hawajui kuwa lugha enyewe inaitwa kiswahili kwa kiswahili. Na hii dhana itaendelea tu vile vile sijui ni nini kitakacho badili fikra za wenzetu kuhusu yale niliyoyataja juu.
ReplyDeleteDuh!
ReplyDelete