Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni tano kwa Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Mkoa wa Dar es Salaam, Christina Malunda ikiwa ni udhamini wa Tigo katika masindano yam bio za nyika yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Mei 16 mwaka huu. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini humo jana. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Lucas Nkunga.
Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (kushoto) akikabidhi moja ya sare ya fulana kwa Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Mkoa wa Dar es Salaam, Christina Malunda ikiwa ni udhamini wa Tigo katika masindano ya mbio za nyika yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Mei 16 mwaka huu. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini humo jana. Katikati ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Lucas Nkunga.
Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu udhamini wao katika mashindano ya Mr & Miss Talent ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yanayotarajiwa kufanyika chuoni hapo kesho. Kutoka kushoto ni Miss UDSM 2008, Tunu Yongolo, Mr UDSM 2008, Mussa George na Waziri wa Michezo wa chuo hicho, Philip Simon.
shati sijui top ya uyu dada shoto
ReplyDeleteapo palipo wazi tunaruhusiwa??
ulijiandaa kwa pozi
asante burudiko