mgeni rasmi mkurugenzi mkuu wa kenya breweries ltd Baker Magunda akitoa darasa wakati wa sherehe ya usiku wa masoko kwa wana afrika mashariki uliofanyika hoteli ya kempinski kilimanjaro jijini dar usiku wa kuamkia leo ambapo wafanyakazi katika vitengo vya masoko toka makampuni mbalimbali walikusanyika pamoja katika mnuso huo uliodhaminiwa na vodacom, tbl na mwananchi
bosi wa masoko wa vodacom ephraim mafuru akiongea wakati wa mnuso huo
meneja wa kilaji cha ndovu wa tbl george kavishe akimwaga sera
mashindano yaliyoshirikisha wadau mbalimbali yalikuwepo. hapo ni kabla ya kuanza kwa shindano la kusakata rhumba
bosi wa masoko wa vodacom tanzania ephraim mafuru akishuhudia mai waifu wake akikata keki aliyomwandalia ikiwa ni sapraizi kwani siku hii iliangukia siku ya mnuso wa wana masoko
wasanii wakali wa afrika mashariki kwa sasa amani toka kenya (shoto) akila pozi na marlaw kabla hawajatumbuiza
amani akitumbuiza
bebe cool toka uganda alikuwepo kutia radha mnuso huu
marlaw akipagawisha kwa kibao chake cha 'pi pi pi'

meneja wa kilaji cha ndovu george kavishe (kulia) akiwa na bosi wa masoko wa stanbic bank abdallah singano (pili kulia), kelvin twissa wa masoko zain (shoto) na mdau papa kooll wakila pozi mnusoni
ilikuwa furaha na vifijo usiku mzima
kipindi cha maswali na majibu kilinoga hasa watu kama mama saada mufuruki walipomuuliza mtoa mada kuhusu maswala mbalimbali ya masoko

wadau wakishindana kukata mayenu. nanihii ndani ila alitolewa raundi ya kwanza...
















Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2009

    whatttttttttttttt?

    balozi wa nanihiiii hahahahaaaa....hujatulia kabisa

    sasa ndo nini apo

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 30, 2009

    nadhani mainjinia na wachumi nao wanajiandaa kutoka kivyaovyao

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 30, 2009

    Duh! kumbe Ephraim Mafuru ana mke? mbona bado yuko sokoni kwa sana tu anatuzibia nafasi mabechela kibao?

    ReplyDelete
  4. mmhh very' nice lakini wee kaka Michu' mbona mama barozi una mwacha mwacha kwa nyuma? ok anyway good job bro!!

    :-) :-)

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 30, 2009

    Inaelekea sherehe zilifana, na nafurahi jinsi walivyo vaa "simple". Ila Michuzi nadhani ulikuwa umechoka umebana sana picha. Happy B'day naniii wa Voda

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 30, 2009

    Kaka michu hii ni bonge la event ever seen before.Big up to organisers but next time they should raise their heads and marketers in other regions.TUPO ACTUALLY.
    Everything seems to be so interesting. ni sherehe ambayo ukienda una-gain NONDOOOZ
    Mdau-moshi

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 30, 2009

    Papa Kool is that you?? Eee bwana za siku ...JIRANI yako toka Tanga....NYC hapa.
    Tutafutane facebook.

    ReplyDelete
  8. MagazetiMay 30, 2009

    Michuzi,

    Peleka salamu kwa Papa Cool na mwambie huyu ni Pat Magazeti wa Pazi na Magnet kumbukumbu pale Gymkhana na Magorofhani-Ohio.....

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 30, 2009

    Hivi JAy-Z akivaa miwani usiku na sie TUVAE JAMANI?? tabia hii ya kuiga kila kitu kwa macelebrity wa magharibi inanikera ile mbaya?? WHATS THE POINT OF WEARING SHADES DURING THE NIGHT????
    hizi style nyingine .. Mwe!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 31, 2009

    The local affluents

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 31, 2009

    Dude! dont embarass urself, note the difference between stunners and sunglasses. Thats Bebe Cool! Comeon ma!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 01, 2009

    mamaa Mafuru hongera sana kwa tendo hilo umeonyesha KITU SAFIII

    wakome na wajiju ving'ang'a wa waume wa watu!!

    safi sana

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 01, 2009

    Mi ni mwana masoko pia, how can I join the team, thank you

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...