







Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
whatttttttttttttt?
ReplyDeletebalozi wa nanihiiii hahahahaaaa....hujatulia kabisa
sasa ndo nini apo
nadhani mainjinia na wachumi nao wanajiandaa kutoka kivyaovyao
ReplyDeleteDuh! kumbe Ephraim Mafuru ana mke? mbona bado yuko sokoni kwa sana tu anatuzibia nafasi mabechela kibao?
ReplyDeletemmhh very' nice lakini wee kaka Michu' mbona mama barozi una mwacha mwacha kwa nyuma? ok anyway good job bro!!
ReplyDelete:-) :-)
Inaelekea sherehe zilifana, na nafurahi jinsi walivyo vaa "simple". Ila Michuzi nadhani ulikuwa umechoka umebana sana picha. Happy B'day naniii wa Voda
ReplyDeleteKaka michu hii ni bonge la event ever seen before.Big up to organisers but next time they should raise their heads and marketers in other regions.TUPO ACTUALLY.
ReplyDeleteEverything seems to be so interesting. ni sherehe ambayo ukienda una-gain NONDOOOZ
Mdau-moshi
Papa Kool is that you?? Eee bwana za siku ...JIRANI yako toka Tanga....NYC hapa.
ReplyDeleteTutafutane facebook.
Michuzi,
ReplyDeletePeleka salamu kwa Papa Cool na mwambie huyu ni Pat Magazeti wa Pazi na Magnet kumbukumbu pale Gymkhana na Magorofhani-Ohio.....
Hivi JAy-Z akivaa miwani usiku na sie TUVAE JAMANI?? tabia hii ya kuiga kila kitu kwa macelebrity wa magharibi inanikera ile mbaya?? WHATS THE POINT OF WEARING SHADES DURING THE NIGHT????
ReplyDeletehizi style nyingine .. Mwe!!
The local affluents
ReplyDeleteDude! dont embarass urself, note the difference between stunners and sunglasses. Thats Bebe Cool! Comeon ma!
ReplyDeletemamaa Mafuru hongera sana kwa tendo hilo umeonyesha KITU SAFIII
ReplyDeletewakome na wajiju ving'ang'a wa waume wa watu!!
safi sana
Mi ni mwana masoko pia, how can I join the team, thank you
ReplyDelete