Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Soni Day iliyopo katika Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga, wakifurahia Msaada wa Kompyuta 8 zenye thamani ya Shilingi Milioni 5.6 baada ya kukabidhiwa radhimi na Mkuu wa Vodacom Foundation Mwamvita Makamba, msaada huo ni mwendelezo wa huduma ya Vodacom Foundition kwa jamii mpaka sasa mikoa 15 ya hapa nchini imekwishanufaika na mradi huo.
Kikundi cha sanaa cha UZAUGALE cha Wilaya Lushoto wakitumbuiza wakati wa hafla ya Vodacom Foundation ilipokuwa inakabidhi msaada wa kompyuta 8 zenye thamani ya shilingi Milioni 5.6 katika shule ya sekondari ya soni day Mkoani Tanga.
Kikundi cha sanaa cha UZAUGALE cha Wilaya Lushoto wakitumbuiza wakati wa hafla ya Vodacom Foundation ilipokuwa inakabidhi msaada wa kompyuta 8 zenye thamani ya shilingi Milioni 5.6 katika shule ya sekondari ya soni day Mkoani Tanga.
Ebwana hawa jamaa ndo wanapiga sikinde au bongo flava?.tunaomba utupostie nyimbo yao.Ebwana watu wa lushoto naomba muwasaidie angalau wapate speaker na getear nzuri.wapo serious sana wanaonekana na wanachokifanya
ReplyDeletewhy tanga????????????
ReplyDeleteWallah hiyo 'bendi' imenikumbusha mdumange Lushotoooo....in short, huo mdumange, sound inatokea hapo redioni....
ReplyDeleteACHA ROH MBAYA WEWE MBONA PROGRAM ILIKUWA ZNZ NA MIKOA MINGINE HUJASEMA!mdau turkey
ReplyDeleteACHA ROH MBAYA WEWE MBONA PROGRAM ILIKUWA ZNZ NA MIKOA MINGINE HUJASEMA!mdau turkey
ReplyDeletewewe unayeuliza why Tanga, najua jibu unalo na kama huna basi ni kwamba mcheza kwao hutunzwa?? U wish na wewe ungekuwa mtanga si ndio?? mdau USA or Mtanga Halisi. waja leo waondoka leo,
ReplyDeleteWee unauliza WHY TANGA, PLZ USIWACHOKOZE WATU WA HUKO, SHAURI YAKO, wee kaa kimya hata wakipewa nini nyamaza ndg yangu yatakukuta MAKUBWA, shauri yako, nakuonea huruma kumbuka unaongea kuhusu TANGA!!!!
ReplyDeleteWeee HATER unauliza kwa nini TANGA, njoo TANGA TUTAKUJIBU...
ReplyDeleteTanga ndo kwenyewe, peleka Makopyuta tukasome sie, Lushoto Bomba sana, kama hujapata kufika fikiria kufanya hivyo. Tanga Oyeeeeeee, Elimu juu, Kompyuta njooo na vingine zaidi.shukrani kwa kutujali.
ReplyDeleteMgosi mwenyewe.
Why Tanga?
ReplyDeleteThe Answer ni
Tanga waliandika proposal zikajibiwa na ili kuepuka gharama project zote za Tanga hiki ndio kipindi chake. Na nyie Kigoma, mkiandika matajibiwa.
kichwa cha habari hakijatulia
ReplyDeletevodacom...."kuwaga"......???
kuwaga ndo nini??
bongo siku izi naona viswahili vimebadilika km vinarudi nyuma vile?
nimeipenda sana iyo redio picha ya mwisho.....
ReplyDeleteukumbusho mzuri,jamen mkiichota msiitupe iweken makumbusho
tanga bwana???
Te,te,te,te,te,....some things never change at all...Tanga bado kuko nyuma sana...mama yangu alisoma Tanga, dada yangu, kaka yangu alikuwa Soni seminary na mie hivi miaka ya nyuma bado tambarare tu jamani....Makubwaaaaa
ReplyDeletembona huulizi TRA NA KILIMANJARO?ACHA MAJUNGU ULITAKA TANGA ISISAIDIWE? KWANI TRA BADALA YA KUWEKA MZANI WA KIPIMO TANGA KWENYE BANDARI WAKAPELEKA KIPIMO KILE KILIMANJARO ILI MANUFAA YAENDE KILIMANJARO ILIHALI HAWANA BANDARI. MBONA HUKUHOJI? HIZI COMPUTER NANE NDIO ZIMEKUTOA ROHO?
ReplyDeletewe UNAESEMA TANGA kuko NYUMA halafu ukoo wenu wooote mmeenda huku huko KUPATA ELIMU, AKILI YAKO INA AKILI KWELI?????????????
ReplyDelete