
NJOONI TUFURAHIE MAISHA YA KING OF POP MICHAEL JACKSON
JUMAMOSI HII TAREHE 06/27/2009
SESKA LOUNGE
2017 VEIRS MILL RD,
ROCKVILLE,
MD 2085I
NYUMA YA DIARY QUEEN ICE CREAM SHOP.
TOP TEN ZA MICHAEL JACKSON ZITAPIGWA NA SPECIAL REQUEST ZINAKARIBISHWA.
$ 5 USIKU MZIMA YA KUWALIPA WALINZI NA MA BAR TENDER LOL
Mike was and still the best performer.Nobody can lace his shoes.Atakumbukwa milele
ReplyDeleteR.I.P Mike
NYIE WATU HAMNA HATA ADABU, MTU HATA AJAZIKWA NA TAMAA ZENU MNAENDA KUSHEREKEA KIFO CHAKE. NGOJENI MFIE KWENYE KUBEBA BOXI
ReplyDeletewanamziki jamani wanamaisha ya ajabu ajabu!
ReplyDeleteanapokuwa mwanamziki wa kawaida ni bora sana,lakini anapofikia kuwa supastaa wa kitaifa au kimataifa, hapo raha ya maisha ya kawaida hakuna,na pengine kifo kikimkuta basi badala ya kilio baadhi ya washabiki wataombeleza kwa mziki na vifijo,hii ndio kero ya usupastaa
Du kweli kufa kufaana, yaani wajasiliamali tayari wameisha capitalize kifo cha MJ. Si msubiri azikwe kwanza basi! Wabongo kweli noma. Zote hizo njaa tupu LOL!. RIP Michael, watu watakulilia kwa mengi uliyofanya kwenye muziki wa POP, ila wapo pia watakao kulilia machozi ya furaha kwani wamepata biashara.
ReplyDeleteHUU SI UTAMADUNI WETU WATANZANIA KUSHEREHEKEA KIFO CHA BINADAMU MWENZAKO, HAIJALISHI UNAISHI WAPI.
ReplyDeleteYOU WILL REMAIN A TANZANIAN, BEHAVES LIKE TANZANIA
Aah wabongo nao,hata kwenye msiba pia watu wataka watie ulaji,tena bila ya aibu "njoo tujefurahia",msubiri basi angalau azikwe kwanza,kipindi hiki ni cha kuzungumzia pengo aliloliacha katika hii dunia ya music na jinsi ya kuliziba.
ReplyDeleterest in peace MJ
Kufa Kufaana, wamjasirimali tayari wamesharukia tenda! LOL
ReplyDeletembona wajaruo hushelekea kwa pombe na mziki na kelele
ReplyDeletePitiful, Pathetic you'll should be ashamed!
ReplyDeleteMaisha ya Michael yanasherehekewa Marekani nzima toka kifo chake kilipotangazwa.Huo ndio utamaduni wa wenzetu.Sasa sisi watanzania tukishiriki hizo sherehe kwa kushirikiana na wenye nchi waliotukaribisha hapa Marekani kuna tatizo gani?.Hata kama msiba usingekuwepo hilo disco lingekuwepo tu.Nyie mliokosa viza hebu acheni ushamba,angalieni hata kwe TV.Kama mgao wa umeme haujapita mtaani kwako soma gazeti uelewe ama uliza ueleweshwe.
ReplyDeleteUPUUZI MTUPU WATU WALIOKOSA AIBU MTABEBA BOX MPAKA MIGONGO IPINDE,WAPUUZI WAKUBWA MUWE MNAFIKILIA KABLA YA KUFANYA
ReplyDeleteHawa wanaosherehekia kabla ya hata MJ hajazikwa ni watanzania au watanzaulaya? Watanzania hatuna utamaduni wa kusherehekea na kufanya biashara kwa kutumia jina la mtu ambae hata kuzikwa kwenyewe bado.
ReplyDeleteHata kama umechoka kubeba mabox huo si ustaarabu bwana. Wapuuzi watupu na njaa mpaka kwenye kucha.
kama walivyojaa wajanja ebay kuuza kila kitu cha michael jackson hususan t-shir zilizoandikwa RIP na wabongo nao kumbe hawapo nyuma, hongera sana!
ReplyDeleteNa kwa wale wanapiga kelele kuwa wanasherehekea kifo mumekosea, wanasherehekea maisha yake, ni issue mbilitafauti na sio jambo la ajabu katika nchi nyingi duniani, kwa hiyo hapo hawana kosa!
kazi ni kazi tu,ilmradi huui mtu wala kuiba
ReplyDeletetengenezen pesa wabeba box kwa raha zenu mwayaaaa
NIAMBIE UTAMADUNI WA MTANZANIA. KIFO NI MAISHA BAADA YA HAPA DUNIANI SASA UNATAKA WATU WALIE BARABARANI.HAIRUHUSIWI ULAYA KULIA UNASUMBUA NEIGHBOURS .
ReplyDeleteKUSHEHEREKEA KIFO CHAKE SIO MBAYA KWANI UKIISHI KWENYE UTAMADUNI WA MTU HUNA BUDI KUBLEND IN...ILA SIELEWI KWA NINI MJ ANASHEHEREKEWA KWANI JAMES BROWN ALIPOFARIKI SIKUONA WATANZANIA WAKISHEREHEKEA. KITU KINGINE KINA NIPA SHAKA NI HII SEHEMU AMBAYO WANAKWENDA.......NI KAMA UNAKWENDA KWENYE MAZISHI MAANA SI CLUB, HEBU ANGALIA TANGAZO LAO ..(NYUMA YA ICE CREAM SHOP) DUHH!!!
ReplyDeleteeti jamaa kaandika hapo juu " nyie mliokosa visa"! -kweli box linaharibu akili!! yaani unafikiri visa ya US bado ni issue TZ!! Uliza wewe nani tena anahaja na kuja kufanya kazi za uchafu huku. US ilikuwa zamani bwana. Kweli mngekuwa na akili na maisha mngekimbilia viopportunity uchwara vya kutengeneza hela ya kula kupitia kifo, kweli credit crunch imebana!! Si mrudi kwenu tu??!
ReplyDeleteha, ha,watanzaUSA,,,
ReplyDeleteUTAMADUNI GANI?HAMNA TENA UTAMADUNI TANZANIA OK. YAANI KILA CORNER KUNA PARTY. KAOMBE VISA UJE ULIE KWA SAUTI KAMA HUJAITIWA 911 UNASUMBUA
ReplyDeleteWabongo acheni kelele zenu. Hapa Marekani ndo their tradition mtu akifa kama ni Mucisian kuna kitu kinaitwa kucelebrate life ya huyo late whoever.Sasa nyie mnaanza mambo yenu ya kuwa judgemental.Mlitana wamarekani wajitande kanga waende neverland ranch kupiga mayowe au????
ReplyDeletewatu wanatofautiana jamani so do the protocols na taratibuz