mamia walimshudia beenie man akikamua katika viwanja vya chuo cha posta usiku wa kuamkia leo katika shoo yake moja tu hapa bongo
mashabiki wakijinoma ngoma za beenie man
msela kapigwa no smoking ya mbele baada ya kukwapua pete ya beenie man mwanamuziki huyo aliponoa stepu kwa kuwapa mikono mashabiki. pete ilipatikana na msela naye alipata khabari yake maana aligombewa kama mpira wa kona na mabaunsa.
nenda kwa michuzi jr. kwa picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 24 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2009

    Mh, Jamani,

    Hiyo Picha ya Pili, watu tujiangalie kwanza tulivyo miili yetu kabla ya kutoka na kivazi.

    Mh, miili mingine kama imetembelewa na duduwasha vile / Mtindi type.

    Ni Hayo tu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 28, 2009

    Eh,,wabongo watu mnajivinjali kweli kweli.mademu wabongo mnatisha.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 28, 2009

    Akina dada wa kitanzania funikeni ma-cellulite hayo! its not sexy at all,aghhhhhhhhhhh

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 28, 2009

    Tanzania raha sana. Watu wameshiba kweli lakini vimini na vishort kebekebe.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 28, 2009

    Lishe bora LOL

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 28, 2009

    Wasichana wakibongo kama wanawake wakispanish wa South America. Ili mradi kitu kiko kwenye fashion lazima mtu avae bila kujali kinaendana vipi na mwili wake. Look at that girl with a brown top and a black short short.....uwwwwiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 29, 2009

    inamaana bnm wamemfanya kichaka kila wakimuona tu wanabanwa haja!teh teh teh.safari ile alikuja hukobongo kwa mara ya kwanza (sikumbuki mwaka)akawapa watu mkono wakalamba pete, na safari hii tena wamelamba au sikuielewa habari vizuri?maana ya kwanza nakumbuka ila hii bado sijaelewa.kama ndo hivyo kweli wabongo noma!atawakumbuka kwa kuwa vichomozi maishani mwake.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 29, 2009

    MIchuzi, naomba uivute(zoom) hiyo picha ya pili kutoka juu, ya msichana mwenye kitop cha brown na black mini skirt. Kama sioni vizuri vile?! Sijui kavimba au ni duduwasha kamtembelea.......!? Kindly Zoom it.Fashion bwana..mhh!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 29, 2009

    namuunga mkono anony wa 11.00 pm miili mingine kama micheline, imevimba kila kona ni bora mvae madira kuliko kujianika, inachefua hata kuwaangali. watu mna matumbo matatu matatu misuli ya ajabu. tuige kwa mpango sio kila kitu.

    ReplyDelete
  10. Angalau safari hii wamejitahidi hawajatuletea wanaovaa MILEGEZO.

    Huyu ana afadhali - havai mlegezo.

    Muwe mnatuleteaga kama hawa. Sio wavaa milegezo hapa.

    Huyo alekoment duduwasha kanichekesha sana! Tehe teh tee!

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 29, 2009

    MICHUZI NAOMBA NISAIDIE KITU KIMOJA, NIONDOLEE HIYO PICHA KWANI MWANANGU WA MIAKA8 HUWA ANA VISIT BLOG YAKO NAMI SIPENDI AONE HIYO PICHA

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 29, 2009

    Baadhi ya mademu wa kibongo wamedata.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 29, 2009

    Tangulini wabongo tumekuwa wamarekani jamani???? Kuiga kwingine kunachekeshaaaa!!!!! Jiangalieni kwanza jamani

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 29, 2009

    Jamani huyo dada alikuwa anategemea BM atammind nini? Ndio nini kujivalisha hivyo?

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 29, 2009

    Jamani unatafuta brown top and black masoko ya kampuni gani huko?

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 29, 2009

    ivi nyie mnawashwa nini??

    cha ajabu apo nini?wake zenu/girls zenu wakoje uko ndani??

    mama zenu si ndio ayo matumbo yamewatoa??ovyoo sana,km ulizaliwa na mwanaume sema...

    izo simu wanazochukulia video/picha ni blackberry au?maana uo umbali na steji mh!!!

    ila izi fujo sio utamaduni wetu

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 29, 2009

    Wewe mdau mwenye mtoto wa miaka 8,hamna haja ya picha kuondolewa ila nadhani huu ni muda muafaka wa kumuonyesha mtoto wako vizuri na vibaya. Huko ndo kunaitwa kulea maana kamwe hawezi jua vitu vizuri always. Muelimishe vizuri na vibaya ili ajue mbichi na mbivu. Asante!

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 29, 2009

    Du jamani huyu dada mbona anatia kinyaa! fashio zingine jamani watu waangalie sio za kila mtu!kavimba au katembelewa na kiwavi - hakuna mvuto hapa ni kuchefua watu tu!

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 29, 2009

    Pajazzzz. duh!! ama kweli watapona vichaa tu tena wale wa muhimbili

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 29, 2009

    WABONGO ,MLIO NJE SOMETIMES MNA DHARAU NA NYODO SANA,HILO PAJA FRESH TU NA DUDUWASHA NDIO WATU TUNAMINMD KWA SANA,WE GOT DIFFERENT TASTE,NANIHII NITAFUTIE EMAIL AU NUMBER YA HICHO KIFAA MI NITAKIPANDIA PIPA DEC,MBONA MADEMU WA MAREKANI KIBAO WAPO HIVYO HUKU NA WATU WANARUKA NAO DAILY,ACHENI MBWEMBWE WAZUSHI TU BONGO MADEMU WAKALI SANA KULIKO,NA COMMENTS ZA KUPONDA HAPA NYINGI NI ZA MDEMU WALIO NJE/MTONI AMBAO 90% WABOVUUU KUWA ABROAD NDIO KUNAWALINDA NYIE,NDIO MANA WATU ATUJAOA MPAKA LEO,NO CHOICE!!

    UFUDU HAPA!

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 29, 2009

    Jee mnakumbuka enzi za nguo za heshima??Japokuwa yule mzee alikuwa na makosa yake lakini enzi zake watu walikuwa hawatembei half naked.

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 29, 2009

    Wabongo kwa kuponda bwana...sasa hapo cha kushangaza kitu gani? badala ya kumuongelea huyo Bini Mani, mnakalia kusema wenzenu tu...kwani kila nguo unayovaa wewe inakupendeza?? Hebu jicheki hapo kwanza ulivyo, umependeza weye?...chukueni time zenu, tuondoleeni mashudu hapa...wakina dada wakibongo mlioko bongo, JIACHIENI...nimewaruhusu na kwanza kuna Joto...Mmependeza ile kinyamaa...yani mko poa kichiz, dah..sitasahau jumamosi, utazani mlikuwa Copa Cabana Beach!

    mdau,
    Ashmatit

    ReplyDelete
  23. AnonymousJuly 01, 2009

    Nawashangaa wanaomponda huyu dada wa watu sijui kawakosea nini? Issue ilikuwa juu ya burudani ya BM lakini watu wanamkalia kooni binti yule mzuri.

    Kosa lake nini binti huyu au kuvaa kitop cha brown na kimini cheusi? Acheni hizo bandugu.

    Mimi kula yangu ni kwa mabinti kama huyu na mapishi yao ni mazuri kupindukia.

    Ninachomaanisha hapa ni kwamba binadamu tunatofautiana katika mambo mengi. Ndiyo sababu hata uwekaji wa sukari kwenye kikombe cha chai mimi naweza pendelea kuweka kijiko kimoja mwenzangu ukapenda vijiko viwili mwingine vijiko vitatu.
    Mimi napenda mabinti waliojazia kama huyu mnaemzodoa hapa.

    Mie Scallywag

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...