kaka nakujulia hali, lakini natumai u-mzima kwa Madiba kama ninavyoona kwenye picha.

sina mpya huku, tafadhali wawekee wadau hii link yenye fursa za ajira katika kampuni ya google. watani wa jadi wanatupiga bao kwa sana, vijana wale nao sahani moja.
shukran
Mdau UK

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Shukrani mdau wa Uk.Nnaomba unitumie maombi kabisa,wakiniita kwenye usaili uniambie.

    Watanzania fursa kama hizi tunaziona kama sio size yetu vile,ukimwambia mtu mwenye sifa atume maombi jibu lake ni hilo hapo juu.Zipo fursa nyingi hasa kwenye mashirika ya umoja wa mataifa.Sisi tunasubiri ajira milioni 1 alizotuahidi Raisi kikwete.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2009

    Sie Wabongo tumeteka YOUTUBE na kiswahili chetu, sasa bado FACEBOOK, BING na YAHOO.
    Mdau
    Manzese Kwa Mfuga Mbwa DSM.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 16, 2009

    ni kweli mdau

    wengine hazitifai apa

    asante sana kwa roho nyeupe kusaidia wa-Tz

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 16, 2009

    majirani zetu si watu kabisaaaa

    i tell yu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...