Brother Michu,
Jana asubuhi (saa 12:00) kulifanyika mazoezi ya viungo ya Pamoja huku Zenj kati ya “Mazizini Beach Exercise Group” linaloongozwa na Kocha mahiri Said Sugu na “Kitambi Noma”.
Mtanange huu ulifanyika katika viwanja vya michezo vya Stone town School iliyopo Migombani. Kwa kawaida makundi yote huwa haya yanafanya mazoezi kila siku isipokuwa Ijumaa katika beach maarufu inayoitwa Ngazi Mia (nyuma ya Ikulu ndogo) na wana utaratibu wa kualikana katika joint perfomance.
Washiriki ni watu wa makundi mbali mbali wakiwemo akina mama, vijana, watoto, wafanyabiashara na “Vibosile” kutoka kila kona ya Mji wa Zanzibar, na wadau wote munakaribishwa. Tafadhali post picha hizi kwenye blog ya jamiiUkija Znz nitafute nikulepele Ngazi mia


Hahaahahah Kitambi Noma neno zuri hilo, Ila kama watu wanakimbia tu wakazani kitambi kitapunguwa bila mazoezi mengine na kuwacha pombe au vyakula vya ovyo basi mnajidanganya,
ReplyDeleteMwisho kitambi kitapunguwa zitabaki nyama zinaninginia doh.
Muombeni mungu amkeni mapema Swalini Swala 5.
Kunyweni maji ya uvuguvugu na vyakula vya majani na Vyakula vya baharini ndio muhimu. Punguzeni Amiraaaaaaaaaa hizo. Mtanga.
HIO SAFI SANA WADAU WA ZNZ ,MAZOEZI NI MUHIMU SANA KWA BINADAMU NA HUO NI MFANO WAKUIGWA.
ReplyDeleteMchangiaji wa kwanza, kwa taarifa yako Watu wengi wakimaliza Swala ya Afajiri ndio wanakwenda ktk mazoezi na baadae kuelekea kutafuta rizki.
ReplyDeletenyongeza kwa 2:23PM
ReplyDelete...lakini huwezi kuomba mungu akuondolee kitambi. kama ni kweli hayo mazoezi yasingekuwepo
Jamani mie anon wa kwanza sioni kama kakosea Kumuomba mungu ni muhimu kwa mengi tu ukiamini litakuwekea sawa Unamuombam ungu na mazoezi unafanya na Pombe wacheni kasema kweli lakini. ila si kwamba unaswali na mazoezi hufanyi kama unaamini mwenyezi anauwezo wakukusaidia kwa mengi. kitambi kama unaona kipo kama marazi basi unamuomba akupunguzie kitambi marazi yatoke, Kitambi kama hukioni kama marazi basi huna haja yakufanya hilo zoezi. Jafar. Haya Mazoezi ni mazuri mfano wak uigwa.
ReplyDeleteafadhali wazenji
ReplyDeletemana mmezidi kulegea,mtepweto
zoezi-zoezi
Hahaha Kijana Kaza Ulimi sio Kulegea ni Kuregea.
ReplyDelete