Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Clement Mshana akiongea na maafisa habari wa serikali wakati wa mafunzo kuhusu matumizi ya Tovuti ya wananchi katika kurahisisha ukusanyaji wa maoni ya wananchi na pia kuleta uwazi na uwajibikaji. Mafunzo hayo yamefanyika leo wilayani Bagamoyo.
Juu na chini ni maofisa wa habari wa serikali wakifuatilia mafunzo kuhusu matumizi ya Tovuti ya wananchi na namna itakavyowawezesha kuwasiliana na wananchi na pia kujibu hoja mbalimbali kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji wa serikali. Picha na Aron Msigwa- MAELEZO





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 05, 2009

    pesa inaingia, semina ni nzuri.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...