Home
Unlabelled
Nderemo na vifijo wakati wa kuapishwa mbunge mpya busanda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
pigeni picha za ukumbusho na kelele za mwisho maana wengine hapo pamoja na wewe wa busanda tutawamiss baada ya uchaguzi mkuu 2010
ReplyDeleteHongera mama karibu bungeni,litumie vema bunge hili kujisafishia njia mwaka ya kesho.Waliokubeba hawatakuwepo mwaka kesho ,nao watakuwa majimboni kwao kutetea viti vyao.Ukicheza vibaya utakuwa ni mbunge aliyekaa muda mfupi bungeni kuliko wote,historia itakuwa imeandikwa. Mfate Mwandosya alete kilimo cha umwagiliaji Geita na Busanda.Mwambie Mabina muunganishe nguvu za hoja maendeleo yaje Geita na Busanda.Nikipata nauli,nitakufata Bungeni nikupe hints za kuwatetea wananchi.
ReplyDeleteWizi mtupu
ReplyDeletekanyaboya hilo, hakuna chochote.
ReplyDeletebusanda ni ndoto kupata maendeleo kwani anahitajika mbunge radical kwelikweli, huyu mama hawezi.
ReplyDeleteradical???
ReplyDeleteKwa kuangalia tu sura zote hizi za wawakilishi wetu pamoja na walivyojilemba kuna anayeelekea kuwajali masikini? Bado tuna safari ndefu ya dhati ya kuondoa umaskini.
ReplyDeleteThe woman is HOTTT!
ReplyDeleteaah Bukwimba!!! Haa! hivi siku hizi hata wanawake nao ni MAFISADI? kweli haki sawa kwa wote. Aah Bukwimba!!! Fisadi from Busanda
ReplyDelete