


Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hi! kaka Misupu,kwanza tunakushuru kwa kutuletea habari njema,kuwa wanamziki wetu walio nje wanajituma kiuhakika katika kulitangaza dansi la TZ,tena ushaidi tunauona wazi kuwa onyesho hilo ni kubwa la kimataifa,sio Kitchen paty,sasa ninachojiuliza kulikoni? watu wanajiita maporomota wa kama vile Miss.Tanzania huko ulaya hawawezi kuwashirikisha wanamziki wetu hawa?
ReplyDeletena badala yake wanawaalika bendi zisizo julikana? hapa ndipo ninapaona kuwa wanamziki wetu watambulika kimataifa lakini sisi wenyewe tunawatupia Kisogo.
Tubadilike.
Mdau wa K'ndoni,Biafra
kamanda ras makunja,tunakukubali kuwa wewe ni naodha unaeliongoza jeshi katika mashambulizi ya kimataifa,kaza moyo kaka!endelea kuwa na moyo huo huo wa kuwapa shavu wanamziki wenzio,ukisikiwa ukubwa ndio huo lazima uwe na moyo wa kutoa nafasi kwa kila moja.
ReplyDeleteAsante kwa kazi yenu nzuri.
Mimi Mzee wa minyang'u nyang'u.
Dubai
te!te!te! mwe!mwe! kaka bro ras makunja,kwanza nakupa Big Up kwa tabia yako ya kukomaa kichwa na ffu wako!nasikia pale Hannover ilikuwa mashambulizi tu hakuna kuremba remba.Pia nasikia umenunuliwa miwani mipya ya zahabu?na baba wa kambo hili mmalize zogo?
ReplyDeleteKwako Anony wa K'ndoni,Biafra.
ReplyDeleteUnajua tatizo kubwa tulilo nalo baadhi yetu watanzania ni KASUMBA ya bora kumkarimu mgeni kuliko watoto wako.Itikadi ya kasumba hii inatumaliza sana na tunabaki kuambulia sifa ya kuwavusha wengine na watoto wetu kuwatupia kisogo kama ulivyosema.
watanzania wenzetu wanaojiita waandalizi aka maporomota wa shughuli mbali mbali wamekuwa na kasumba ya kuwababaikia wasanii wageni kuliko watoto wao! jambo hili sio geni,Ras makunja mwenyewe analifahamu fika,kwani naye kishapita misuko suko mingi mpaka kufika hapo alipo.
chukulia mfano mdogo tu maporomota hapa nchini wanaingiza wanamziki na bendi nyingi kutoka nje!? badala kutumia fedha zao na kuzitoa nje ya nchi bendi za hapa nchini.
Kasumba hii si ya leo wala si kitu kigeni,cha kumshauri Ras Makunja ni kuwa yeye aendeleze libeneke lake la kuwasha moto wa kimataifa,pia ajaribu kuwapa nafasi wanamziki wenzie nao wafikie kiwango cha kupiga mzigo katika majukwaa makubwa kama yeye.
kamanda ras makunja,naomba nikuulize kijiswali kiduchu tu,lakini kwanza hongera kwa hiyo suti na kiatu umependeza kweli!
ReplyDeleteeti bro kaka ras, nasikia hiyo suti uliyovaa ktk picha na sefu rengwe,suti hiyo umepewa zawadi na MAMA KIMWAGA? yaani ni mapoozeo,wazushi wanadai mpaka kiatu kipya cha bei mbaya vyote kagharamia JIMAMA PESA toka upate zawadi hizo siku hizi umekuwa BUBU!
Madongo atupiwi tena JIMAMA PESA.
any way hapa umenishinda
unajua hapa barazani kuna watoa maoni wengine ni wachokozi,wanamchokoza mtu mpole tena mtu wa watu.tena watoa maoni wengine wachimbi.lakini mimi sio
ReplyDeletekaka braza makunja mie tupo pamoja nawe hila naomba niulize mbona rasta wengi wapo mbofu mbofu lakini wewe kila wakati ni mshua tu?soap soap si unaona kiatu?
mnyonge mnyongeni lakini haki mpeni! Ngoma Afrika wanajituma vichaa nawakubali wakiamua kuwasha moto ni moto kweli kweli
ReplyDeleteHivi ni kwa nini mtu akicheza Bolingo lazma awe na expression flani hivi usoni? Hii kitu ni proven, mwangalieni huyo jamaa kwenye picha ya tatu hapo kutoka juu, pia angalieni videos za wasanii mbali mbali wa muziki wa Dansi.
ReplyDeletekweli makunja mwanamziki aliyekomaa kichwa tena kazi anaijua,lakini kama ukimsikiliza sana nyimbo zake mara nyingine zinagusa moyoni kiasi unaweza kumpiga mtu,katika mistali yake makunja anagusa mioyo na unaweza kujisikia unaandamana mtaani,kutona na nyimbo zake hii ya sasa "furaha ya maisha iko wapi?" na "baba wa kambo" zimenigusa sana moyoni
ReplyDeletehiiii FFU mnapofika nyie mambo yote yanakuwa mswano, chi chi,
ReplyDeletekabwana kichwa ketu kanakamua kama hana akili nzuri.
chibwana kichwa ngumu kaza buti
Galinoma shikamana nao vichaa hao,shughuli wanaijua.
ReplyDeleteBro Michu,naomba nikuulize swali.Tena nitafurahi kama wahusika(TATU NANE)wataliona hili swali.
ReplyDeleteHivi kile kikosi kilipotelea wapi,maana mara ya mwisho miaka ya tisini ndo niliona nyimbo zao,nafikiri walirekodi kwenye moja ya concert huko Scandinavia.Ooooooh,that was incredible performance,for real!!
Kwa nini wele jamaa wasikae chini na kufanya kazi pamoja?tatizo ni nini hasa?
Naomba kama una-access na hao jamaa basi uwafikishie hili swala.
Nathamini sana mchangowa Ngoma Afrika BAND katika kutitangaza nchi ya tanzania.
ReplyDeletekazi nzuri tupo pamoja
Ras Makunja kiboko kichwa ikunjika kama...uhm..makunja
ReplyDelete