fridge full of human flesh
suspected human meat server with her 'new stock' of human flesh

In Tanzania, some of the witch doctors have been lying the people that if you happen to get some parts of alibinos' body, such as legs, bones, etc - you will automatically become rich. We have heard stories of innocent alibinos who have been brutally murdered or injured.

But now read below and look at the photos above! Terrifying!
Indeed THESE ARE THE LAST DAYS!
When you see all these - FAST AND PRAY
MDAU

A lady from Philippines has killed many people and kept their meat on her Refrigerator She was enjoying eating human meat.

She said that she had made so many parties for her relatives & guests and gave them this human meat to eat without their knowledge.
Her guests said that they found very good taste of this lady's cooking without knowing which type of meat she has cooked for them .

Some of them didn't know that they would be her next victim. She has killed her husband too. Later on, she was caught by the Police .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 10, 2009

    It is so important to put the source of that story plz!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 10, 2009

    Kasheshe! Uchawi wa watu weupe mambo hadhari kaaaziii kweli kweli tutapona kweli, UKISTAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI....

    M/Mungu tunusuru na balaa hili

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 10, 2009

    Duu! Inawezekana hilo ni jini sio mtu, anawauwaje wahanga wake wakati yupo peke yake na vipi nyama za watu zimfurahishe? Hilo ni jini hakuna utata!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 10, 2009

    Mmmmh! Is this true??????? Inakuwaje hao watu wanakula nyama wasiyoifahamu? Nahisi nyama ya binadamu hata ya mnyama tofauti na unayekulaga inakuwa tofauti hata kwa testi, rangi je nyama hii hawakuiona tofauti????? Mifupa ya binadamu na viungo ni tofauti na wanyama inamaana hawakuona hili??? Hakika ni malimbukeni.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 10, 2009

    Nyama nyingi kiasi hicho ingekua kwenye freezer na sio kwenye refrigerator.

    Huu naona ni uongo?
    Haiwezekani refrigerator ikajaa nyama tu.

    ReplyDelete
  6. kasamwa wa kasamwaJune 10, 2009

    Do,hii kali.Nilikuwa na rafiki yangu mfilipino tulikuwa tukiandikiana e-mail sana,mara alipotea ghafla tangu kipindi cha land skep ya ufilipino.Nilifikiri alikufa kwa mafuriko ya matope,lakini napata wasiwasi huenda alitengenezwa nyama choma na haka kadada.Lo, watanzania tujifunze hii mialiko ya kwenye intaneti mtu kama huyu akikualika na kukutumia nauli ,kwa kupenda kwetu kwenda ng'ambo ,umekwisha.Sikatai kuwa na marafiki wa nje, ila umakini wa kutosha ufanyike.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 10, 2009

    We anony wa hapo juu 10:14 toa ushamba wako wako hiyo ni sehemu ya chini ya fridge ambayo ni kwenye freezer. hata yangu mlango wa chini uko hivyo kama hiyo kwy picha. acha kuconlude uongo wakati exposure yako ndogo

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 10, 2009

    mijitu mingine inaniboa sana kwani lazima mbishee?
    -mengine mijuha, sjui kawauwaje wahanga wake peke yake? subiri siku yakukute ndo utajua mtu akitaka kukutoa roho kwa siri inakuwaje!
    -mwengine ndo ziro, sijui hawakuona mifupa malimbukeni? hivi yeye ni hana akili kama wewe awalishe watu nyama ya mtu kwa siri kisha awape na mifupa yake kama alitaka kujulikana angewafahamisha kabisa kama leo nawaandalia kitu fulani!
    -mwengine ndo pumba kabisa eti nyama nyingi hivo itakaaje kwenye refrigerator? sasa kama hana freezer akalale nayo chumbani? refrigerator yenyewe unaiona imechoka kama wewe atakuwa na uwezo wa kuwa na freezer. kwani lazima muandike jamani? mnachefuaaa!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 10, 2009

    Kazi kweli kweli. Lakini hawa inaonyesha kawaida yao. Hawa watu Waphilipines, Wachina, Wakorea wanakula vitu vya ajabu sana. Nyoka, Konokono, etc vyote vyao hivyo sioni ajabu saaana kwao kula mtu.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 10, 2009

    Duh hii sasa kali!!! Huyu binti alikuwa amejifunza karate nini..??? Sababu anawezaje kumkamata mtu hadi kumfanyia vitu hivi??? Alikuwa anakaba hawa watu, anachinja, ananyonga, au anawachoma na kitu? Ananguvu za ainagani hadi kuweza kukabiliana na mtu? Me naona ni jini huyu au mchawi

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 10, 2009

    Mnashangaa shangaa nini?Kwani hamjui hata hapa Bongo watu wanakulaga nyama za watu?Wachawi mbona hamshangai?Kumsengenya mtu ni sawa na kula nyama ya ndugu yako aliyekufa..Mbona kila siku mnakula nyama za watu?hii ndio dunia tambala bovu, Fuateni ukweli
    Mdau
    Misungwi karibu na Butimba

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 10, 2009

    Misungwi Hebu kuwa mkubwa Kidogo.

    Kila mtu kweli anajuwa upo Unyamah uu sehemu nyingi ilakushanga muhimu.

    Mwenyezi atunusuru na hii tabia inshallah iishe Unyama huu si mzuri kabisa lah.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 10, 2009

    Ninafahamu watu wengi huwa wanadhani watu weupe sio wachawi,lakini uchawi upo sehemu zote,na watu wanafanya ritual zao kwa style tofauti.
    hapa nawaelezea matukio mawili yaliyotokea hapa ughaibuni nakoishi,moja lilitokea ktk mjimkuu wa hapa na jingine lilitokea hapa mjini nakoishi na yote wahusika walikamatwa na wakaonyeshwa ktk TV.
    tukio la kwanza kuna JAMAA MMOJA NI TAJIRI SANA MZEE NA HAJAOA, sasa maranyingi alikuwa akienda ktk night clubs kisha akiondoka anaondoka na changudoa kwa ajili ya one night stand,akimfikisha kwake wakati anaendeleza libeneke anammalizia hapohapo kisha anatengeneza sausages ambazo hula kwa chai kama alivyoeleza mwenyewe alipo kamatwa.
    tukio la pili ni kijana wa miaka 19 ambaye alimuua girfriend wake wa miaka17 kisha akapika viungovyake vya ndani kama figo,maini,moyo n.k akachanganya na viazi akala,alipo kamatwa na polisi akadai ni sehemu ya ritual yake.
    sasa hasa wasichana mnaokuwa mnakimbilia watasha mkidhani wao ni malaika na mnadhani ni bahati mmepata kuolewa,angalieni sana sio wote wazima vichwani,na kwakuwa maisha yao huwa ni ya kipekee pekee sio kama ya jamii za kibantu,inakuwa siorahisi kujuwa ni wakatigani kicha huwa kinamkaa vibaya. ni ushauri tu lakini sio wote wala watu au vichaa na ma-serial killers.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 10, 2009

    Anon 12:24

    Wewe kweli mshamba wakutupwa, eti hata yangu iko hivyo hivyo kwa chini.

    Umesahau ushamba mwingine.

    Nyama inayotoka kwenye freezer haiwi na rangi hio.
    Usione kila mtu ni mshamba kama wewe.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 10, 2009

    Hata mimi nimeona ni friji, kwenye mlango kunabainisha baadhi ya vitu ambavyo kamwe huwezi kuviona kwenye friza.
    Labda uwe mshamba kama huyo aliyesema yakwangu iko hivyo hivyo

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 10, 2009

    Kuna mzungu nimemwona hapa jirani kwangu ni albino kabisa,kuna mtu mwenye contact na soko la albino bongo?Nataka nimdanganye twende ukaone wanyama serengeti tukishafika straight sokoni.Atakeye toa contact mkwanja tunaenda pasu.

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 11, 2009

    Haya wew wa uliohitaji contact twende Serengeti na Albino. Number yangu ni 0799242460

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 11, 2009

    Anony June 10:24pm. Usiwafanye watu maboya hapa. Unafikiri nani anaakili za kitoto namna hiyo???? Pili na huna adabu hutakiwi kuonyesha utofauti katika binadamu. Serikali inataka kutokomeza utofauti wa binadamu wewe bado unazungumzia mabo haya. Sijui vipi wewe!!!??

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 11, 2009

    Heri yake huyu anakula nyama live, nyie kila siku mnakula nyama za watu,nani anayebisha kuwa hali nyama za watu?
    Ukimsengenya mwenzako kwa mabaya ni sawa na kumla nyamayake, nani ambaye hajawahi kusengenya?

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 11, 2009

    wewe anony ambaye kilawakati unaibuka na swala la kusengenya=nakula nyama ya mtu,sitetei kusengenya lakini naweza nika predict(ku-prediagnose) kitu kisha ujibu kama nimepatia.
    1.wewe ni mtu wa jinsia ya kike
    2.wewe ni mlokole
    3.hilo neno utakuwa ulilisikia toka kwa kiongozi wako ktk mahubiri fulani na limekukaa kichwani kama lilivyo.
    4.kwa zaidi ya 50% unaweza kuwa ni mtu wa kutokea mkoa wa mbeya.
    5.una umri kati ya miaka 19-38.
    UNASEMAJE ANONY nimepatia?

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 11, 2009

    Wewe Anony wa june 11,2009 1:54 pm, nitakujibu kama ifuatavyo:
    -1.0
    -2.0
    -3.1/2
    -4.0
    -5-0
    Umepata kidogo tu swali la tatu, jitahidi zaidi

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 11, 2009

    Anon wa June 11, 2009 1:54 PM umenifurahisha sana na prediction yako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...