mdau bitebo, hair designer (sio kinyozi) mashuhuri kuliko wote bongo, kaibuka na uzi mpya kwenye saluni zake za magomeni mapipa (jirani na lango la jiji) pamoja na mwananyamala komakoma
masupa staa wote hupigwa sopusopu kwa bitebo. huyu hapa ni abdallah mwaipaya wa itv na radio one
bitebo akiwa na kikosi chake cha kazi magomeni mapipa



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2009

    Mimi sijaoa jamani. Naweza kumpata huyo mrembo pichani? Kama bitebo atakubali, pamoja na wazazi wake au wanaimtunza (guardian) wake, basi wanipe jina lake, umri, pamoja na cheti kinachosema "sina umeme". Pia aniambie kama kuna au hakuna mchubuo. NI lazima awe mkweli. Wakwe zake wako tayari kumchukua. Naomba kutoa hoja.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 30, 2009

    Dullah mbona unamuangalia huyo dada kimahaba, vipi kaka uzalendo umekushinda?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 30, 2009

    we mbona hawajakupa fulanazi ya bitebo?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 30, 2009

    Duuh hio picha ya Dulla Mwaipaya nilifikiria kichwa kimewekwa kwenye beseni hivi,nimestuka kiukweliii mazee ha haaaa.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 30, 2009

    'Uzi mpya' ndiyo huo sikioni!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 30, 2009

    ni hairstylist sio hair designer, designer wa nywele ni Muumba wa hizo nywele.Hebu muelimisheni wadau mnaomjua

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 30, 2009

    Cream hizo watoto wa kiume jamani!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 30, 2009

    Hivyo vitana vinasafishwa? Bongo watu wachafu, mara tu unapata magongwa ya kiana ya ngozi.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 30, 2009

    Nasikia wabongo wakifanyiwa skrabu uso basi shida tupu vichwa vya chini vinaamka utamaduni huu wa skrabu unawafaa wenyewe maana hadi kupepea waafrika moto mara moja utatuletea matatizo zaidi au mnasemaje?

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 30, 2009

    bongo siku hizi hadi wanaume na mikorogo dah...kweli weupo unaonekana uzuri
    mikorogo inaleta chunisi lakini watu wamekomalia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...