Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 19, 2009

    Misupu,

    Hizi katuni za Dogo ninazizimikia sana. Hebu naomba nipe anuani ya libeneke la Dogo (website address ya blog yake). Nakumbuka uliwahi kumtambulisha hapa, halafu mimi sikutilia umuhimu, lakini naona ninavutiwa na kazi yake.

    Ninatanguliza shukrani.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 20, 2009

    wewe anony hapo juu unataka anwani ya dogo ya nini? unataka umpasie lingwasuma lako? achana na dogo wa watu, ana demu wake mwenge mlalakuwa, na wewe katafute mwanaume mweingine.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...