Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2009

    ..afu mbona kila mara/km si mara zote ni huyu mbunge kijana tu anatakiwa aombe "radhi" sijui

    ????????????????????????????????

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2009

    Wazee wetu wamezoea kula bila kuulizwa na kunyenyekewa ndio maana mbunge wetu kijana anapata misukosuko...uzuri naye ameshawajulia, hawakawizi..

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2009

    Tamaduni mbya, hata Mkubwa akitoa mshuzi wenye harufu mbaya basi mtoto anafukuzwa kwa magumi. Spika utamaduni huo umepitwa na wakati.

    ReplyDelete
  4. kipanya hebu chora hawa wanaojiita sexiest man in tanzanzia!wanatia aibu bwana!yani mwanaume kushindania urembo?ndio maana skuizi wanavaa mavitambaa kama yale ya palestina(alivaa hayati arafat kichwani)wakati bongo ni joto balaa,haya mambo ya kuiga ni ushamba sana,

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 16, 2009

    jamani ebu tujaribu kuangalia pande zote mbili, kwa zitto kabwe na spika mwenyewe. me sikatai zito kafanya kazi kubwa sana katika kufichua machafu ya wachache waliokuwa wanaihujumu nchi bt mnataka kusema zitto amekuwa na nguvu kiasi cha kutokuheshimu taratibu za bunge lenyewe?? spika ni kiongozi wake (na ndio maana yeye ana uwezo wa kutoa muongozo/ruhusa ya mbunge kuongea nk pale bungeni)alichokifanya kama alipaswa kuomba radhi basi angeomba na si kujitapa kwa kusema 'mkinisimamisha mtazomewa nchi nzima' kwakweli binafsi naona zitto amevuka mipaka. Na ukiangalia kwa undani yeye mwenyewe si msafi kiivyo, wat if siku yakwake yakianikwa mtaendelea kumtetea?? au mtasema viongozi wetu wote hawafai??? na usidhani wanaojua ya zitto wanaogopa kuyaanika, nop ila wanasubiri the rite time to fix him. Mimi nadhani kiongozi yeyote anapokosea sehemu basi aombe radhi na sio kutunisha kifua na kutoa vitisho. naomba kuwasilisha.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 16, 2009

    popobawa...ni kweli kabisa

    mitambaa ya palestina,mara sura,mapoudaz,tinda nyusi nk nk

    tukemee ili swala

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 19, 2009

    Big up Kp, hope through media message inasambaa sana kwenye jamii, kitu ambacho nikizuri hata kama hakitakua na mafanikio ya haraka. Keep up kukemea mabaya hasa yale ambayo yanapindisha jamii katika vita kubwa tuliyonayo, yakusaidia kila binadamu aweze kujitambua na kuappreciate identity yake. Kwakufanya hivyo, yote haya yakijinga kama SEXIEST MAN Sijui, Mashoga na Wasagaji kutaka wajaliwe sijua, hayata tokea.
    Big up! Keep real!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...