HABARI ZA KAZI KAKA.
NATUMAI HUJAMBO NAWAENDELEA VYEMA NA SHUGHULI ZAKO ZA KAWAIDA, NDUGU YANGU NINAOMBA MSAADA WAKO WA KUNITANGAZI BLOG YANGU YA MICHEZO KUPITIA BLOG YAKO.
BLOG YANGU INAITWA
NATUMAI HUJAMBO NAWAENDELEA VYEMA NA SHUGHULI ZAKO ZA KAWAIDA, NDUGU YANGU NINAOMBA MSAADA WAKO WA KUNITANGAZI BLOG YANGU YA MICHEZO KUPITIA BLOG YAKO.
BLOG YANGU INAITWA
viwanja.blogspot.com
NATUMAI NDUGU YANGU UTANISAIDIA KWA HILO.
NINAKUTAKIA KILA LILILO JEME KWA MWENYEZI MUNGU NA SIKU NJEMA.
NATUMAI NDUGU YANGU UTANISAIDIA KWA HILO.
NINAKUTAKIA KILA LILILO JEME KWA MWENYEZI MUNGU NA SIKU NJEMA.
Hongera kwa blogspot yako lakini audience yako ni ipi? Habari zote hapo ni za ligi za nje ambazo zinapatikana all over online - labda jambo zuri ulilofanya ni kutafsiri kwa kiswahili, na labda ndio hasa audience yako, ukizingatia kwamba wengi wenye internet access wanazo/wanasoma hizi habari tayari online.
ReplyDeleteJambo la kusikitisha ni kwamba hakuna habari yeyote kuhusu viwanja vya TZ wala wachezaji wake walioko nje. Never-the-less, good luck.....