
Mmoja wa wachezaji chipukizi aliyefanikiwa ni Mchezaji Athuman Idd Machupa aka Gaucho ambaye kwa sasa anacheza soka huko nchini Sweden ambapo anachezea ligi ya Pili kwa Umaarufu na kwa daraja hapo Sweden.
Libeneke la Spoti na Starehe limeongea na Gaucho kuhusu maisha yake ya kisoka na soka la Bongo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...