Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakimfariji, Mbunge wa Same
Mashariki, Anne Kilango Malecela leo ambaye amelazwa kweye hospitali ya
Mkoa wa Dodoma kwa matibabu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 25 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2009

    Eeeh!vipi tena jamani?Sasa ww Michuzi unasema tu amelazwa lkn husemi tatizo nn.......lol!

    Mkulima-Kijijini Gezaulole

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 12, 2009

    ohhhhhh

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2009

    Pona haraka mama. Na pole kwa ugonjwa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2009

    That is fact of life, so many people out there are suffering and so sick. all in all we wish her all the best and speed recovery so that she can be back on track to serve us.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 13, 2009

    Hiko kitanda mbona kidogo namna hiyo? Maana hapo ukijinyoosha puu utajiskia uko down unakula vumbi.

    ReplyDelete
  6. Hasira HasaraJuly 13, 2009

    I wish you a quick recovery, we need you Mama.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 13, 2009

    Eeh! Kapigwa kipapai na mafisadi nini?
    Ugua pole.

    ReplyDelete
  8. Pole mpiganaji wetu, ila kuwa makini isije kuwa wale jamaa zetu wasiowapenda nyie wapiganaji.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 13, 2009

    mimi nakushauli mama punguza kidogo mdomo watakumaliza shauliyako.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 13, 2009

    Wadau msipende kujua anaumwa nini wewe muombee kwa Mola apone haraka. Maradhi mengine mkiambiwa hata dawa hamna dawa ya kumpa. Upone haraka mama na Mungu akusaidie.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 13, 2009

    anaumwa kichwa na ni kutokana na mikimiki ya kazi za chama na shughuli zake binafsi. Mdau ulieuliza swali. Hapo amempumzishwa tu usijali.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 13, 2009

    Apigwe Kipapai na nani? Labda sio mpare wa Kihurio.. aisee. Maana wale wazee kule Kihurio wanamwita Mama sasa wewe tuma kipapai chako kama hakikumaliza ukoo wako

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 13, 2009

    Shosti yupo busy sana lazima aumwe

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 13, 2009

    jamaa wana-test zali, mmh angalia!!!!

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 13, 2009

    Mama Malecela pole sana. Hii inatokana na kazi nyingi unazofanya kupigania haki za wanyonge. Lakini pia naomba kuuliza: angalia vema wasiku"chifupe"; wasi"kukolimbe"! Mimi nina wasiwasi sana na siasa za Tanzania. Usipokuwa ndio ndio basi...unakuwa kwenye matatizo! Napaza sauti tuu, sielewi yalikujiri mama! Lakini Pole na Mungu akuzidishie amani na upone haraka urudi kwenye "vita ya kupigana na mafisadi wanaokula ""nji"" yetu.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 13, 2009

    mama kilano pole!!weshakuwahi haoo..pona mama urudi bungeni uwapashe!!jamani msituulie mpare wetu eheeee

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 13, 2009

    Yeye ni binadamu,kuumwa ni kawaida, ila tu tutakosa msemaji mzuri bungeni.

    ReplyDelete
  18. AnonymousJuly 13, 2009

    Haya mmeanza tena, mbona wabunge wanopigania haki za wananchi ndiyo wanapatwa na magonjwa wakiwa bungeni? Mnakumbuka Amina Chifupa, ilianza kama utani mara tukasikia anaumwa na haiukupita mwezi akatutoka. Inshallah tunakuombea upone na urudi kuendeleza kazi ya kugombea haki ya mali za watanzania. Hao wachawi hawana chao!!!!!!!

    ReplyDelete
  19. AnonymousJuly 13, 2009

    Mbona hawajampeleka sauzi afrika au kwa kuwa anawalipua???/

    ReplyDelete
  20. AnonymousJuly 13, 2009

    MBONA HAKUNA MAMBO YA KULIPUANA MAHALI POPOTE DUNIAN? NI TZ TU ALL THE TIME! POLE MAMA, . WATOE HAYO WALA RUSHWA OUT,. MWENZUNU OBAMA KACHAGUA KWENDA GHANA! HAKUNA MCHEZO HUKO. TOO MUCH RUSHWA TZ NAOMBA ASIKANYAGE MAANAKE ATAPATA PRESSURE BURE

    ReplyDelete
  21. Kalazwa kwa ajili ya matibabu!!Matibabu ya Ugonjwa gani au hatupaswi kufahamu??

    ReplyDelete
  22. AnonymousJuly 14, 2009

    Picha ya mwisho kwenye blog hii nilimuona Mheshimiwa akisema kuwa anainyemelea ...... sasa imekuwaje au ndio wanataka kumuwai kabla hajasema?

    ReplyDelete
  23. Je Bwn Issa huja cover harusi ya Bwn Jerry Muro!! Unajua sisi tunakuaminia kwa coverrage ya matukio kama hayo, kazi njema!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...