Mwanafunzi wa Kidato cha sita katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bwiru, Mkoani Mwanza Renatha Renatus akimkaribisha kwa maua Mke wa Rais Mama Salma Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika shule hiyo ambapo aliongea na wanafunzi shuleni hapo.Katika hotuba yake shuleni hapo Mama Kikwete aliwahimiza wasichana hao kufanya bidii katika masomo yao na kukemea vikali tabia ya wanafunzi wa kike kufanya mapenzi na kupata mimba na kukatisha masomo yao.picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu
Home
Unlabelled
mama kikwete ziarani mwanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...