Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza katika hafla ya Wabunge
iliyoandaliwa na Kampuni ya Bia nchini (TBL)kwa ajili ya wabunge kwenye viwanja vya
Bunge mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo. Katikati ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia
na Watoto, Mh. Margaret Sitta na Kulia ni Naibu wa Habari, Utamaduni na Michezo, Mh. Joel
Bendera

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2009

    Naona Maza kaanza kupiga viwalo. Watu mlichonga sana ooh maza hapigi pamba. Sasa naona ni mwendo mdundo tu. Hongera Mama Tunu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2009

    Mshauri wa mavazi wa kina Pinda navulia kofia

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2009

    yaani mama poa huyo! pinda umepata kweli. I like her a lot she is very natural, and relax! hakuna mambo ya magold wala mkorogo! ni wakuigwa huyo! mcheki akicheka, pia na wewe utatoa tabasam ukimwangalia! God bless and her family

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2009

    ..Sidhani kama Bongo kuna baridi kiasi hiki, Mshauri uko wapi bwana mmeremetishe mama!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 14, 2009

    weeh asikwambie mtu Dodoma sasa hivi mpka sept/oct kuna baridi la kufa mtu na party za mjengoni zinafanyikia nje , yaani hata kilaji hakishuki vizuri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...