baada ya kuja juu kivyake na kutamba kama mshairi nyota wengi hawajui kwamba 'mjomba' mrisho mpoto pia yumo katika fani ya filamu akiwa kama mtunzi na muongozaji. hizi ni taswira za moja ya kazi zake wakati wa kupiga picha kipande cha filamu moja uwanja wa ndege



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2009

    mjomba piga mzigo onyesha kipaji
    Mpili

    ReplyDelete
  2. Siku zote nimekuwa nikidhani Mjomba Mpoto ndio alikuwa star kwenye ile series ya Merelani ambayo ilionyeshwa na TVT wakati ndio wanaanza, ilikuwa kali sana. Wadau nifahamishen kama alikuwa ni yeye

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...