wadau wa klabu ya masumbwi ya Aurora wakila tizi kwenye bustani ya gadeni ya posta ya zamani jijina dar leo kujiandaa kwa mpambano wa ubingwa wa juu (Kilo 91) kati ya

Awadhi Tamim na Ashraf Selemani ukumbi wa DDC Mlimano Park Mwenge, Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Hemed KagobeJuly 15, 2009

    Kwa kweli hawa jamaa wana miili mizuri sana ya mazoezi, mimi pia ni mwana mazoezi, ila kutokana na upeo wangu hawa jamaa bado ni wazito sana sana,wafanye mazoezi sana ya kuwafanya wawe wepesi, ili waweze kukabiliana na mashindano ya kimataifa.vingi nevyo itakuwa ngumu sana kwa wao kupata ushindi kimataifa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2009

    ...haha haha haha yaani hawa wasubiri kipigo tuu,yaani ukiangalia vizuri hawana stamina kabisa wala know how yeyote zaidi ya kurusha mangumi tuu,hawa kipigo kinawasubiri tuu,na ningekuwa na uwezo ningewatafutia sehemu ya mazoezi maana wamenitia huruma sana

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2009

    Uzito wao uko freshi tu, wanahitaji kufanya mazoezi zaidi katika foot work! Wana miili mizuri.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2009

    Tafuteni gym mfanyie mazoezi mnatuharibia bustani.
    mnaonekana wazito sana. Mnafanya sana mazoezi ya kujaza miili mnasahau technic za ngumi.
    Michuzi naomba uturekodie pambano hilo kisha ulimwage kwenye globu ya jamii tutoe maoni yetu hasa sisi ambao tumezoea kuwaangalia live games za kina Amir khan na wengineo. Ningekuwa home ningejitahidi kuja kuangalia.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 15, 2009

    Huyu Awadh Tamimu amerudi lini tena? Si ndie aliyeingia mitini huko northern Europe badala ya kupigana kwenye mtoano wa kuwania taji fulani hivi?

    So yupo bongo kuendelea na libeneke, sio? Gud for hime - east, west, home is best.....so they say!!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 15, 2009

    Wadau acheni upumbavu, hii haitoshi kupima viwango vyao kama stamina, footwork, combinations, n.k. Wamesema kuwa dhumuni lao ni kuhamasisha mchezo wa ndondi kwa wananchi wa kawaida, kwa hiyo sidhani kama hiyo ndiyo "intensive workout session".

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 16, 2009

    Mimi nafikili ni vizuri sana wanavyofanya kwa kuwa lengo lao ni kuhamasisha wananchi kuupenda mchezo wa ngumi.

    Unajua ni mchezo ambao wengi awaupendi na hawako tayari kwenda kuuwangalia, hivyo ikitolewa hamasa ya kutosha watu wanaweza kuupenda na kuushabikia.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 16, 2009

    sipendelei aya maswala...

    end unakua zezeta

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...