Loveness Love wa Ála za Roho'ya Clouds 88.4FM na baadhi ya walioingia fainali ya sindano la Sexiest man in Dar
Shindano la kumtafuta sexiest man in Dar linafikia mwisho siku ya alhamis ambapo mshindi atatangazwa kupitia kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa hewani na mtoto wangu wa Pekee Loveness Love.


Washiriki wa shindano hilo ambao ni Luca wa Bongo 5,Benny wa Photo Point,Abba,Mwinyi,Moraka,Hemed ndio waliofikia fainali na kati ya hao mmoja wapo ndiye atakayetoka mshindi.

Shukrani za pekee ziwafikie Steps entertainment,new ck hair design,makoba,biigie respect,home shopping centre,isham,midcom,air Tanzania and Clouds Fm radio kwakuwa ndio wadhamini wa Shindano hilo…

habari kamili pamoja na mambo mengine..
habari hii imeletwa na libeneke jipya la:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2009

    Abba kaka'angu, hilo pozi la u-sexy mbona limekaa kama vile unataka kutapika? Sijanogewa!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2009

    Ni ABBA Tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2009

    Upuuzi mtupu, katafuteni kazi ya maana.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 23, 2009

    after much has been said and done,
    i dont support whatever this is, however you want to defend it and not because am hating, because it's simply a belittling idea even to the men who parade their faces for that, the ideal sexiest man, shouldnt have ladylike features, he should be mannish, muscles, dark, tanned and not the ones that were shown previously that is sexiest for men, however....my sexiest man is already married to me 8 years back so am wondering whats all the fuss about this, i dont get it ..no matter how good you will try to sugar coat it, simply its just childish

    ReplyDelete
  5. mtoa NenoJuly 23, 2009

    Hili tatangazo au taarifa ,limetolewa au imetolewa kwa kiswahili,mbona kiini cha ujumbe mmeweka kwa kiingereza? (sexiest) au mmeficha ukali wa neno katika lugha ya kiswahili.Naomba mtumie kiswahili ili tujue hasa mnachokitafuta,maana jamii ya kitanzania inataka iwe na uelewa wa kutosha kwa kile mnachokifanya.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 23, 2009

    kazi kweli kweli,shule huongeza uwezo wa kufikiri jamani!kuweni wabunifu ndugu zangu.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 23, 2009

    Du, hii kali, yaani sexiest men in Dar?, No, this is not what we want our future generation to be like, Big NO

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 23, 2009

    I support the show sexiest man in dar, likini mbona wanawachukua tu macelebrete badala ya kutafuta kama walivyo mamiss kila kona? anyway I like men with big chest and misuli.s halafu awe mweusi kweli kweli na ka mustachi, wanaume weupe balaa, wanashinda kwenye kioo

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 23, 2009

    sexiest man=
    1.mwanaume mwenye mvuto
    2.mwanaume mwenye haiba
    3.mwanaume mwenye "nguvu"
    4.mwanaume mwenye uwezo-general
    5.mwanaume rijali
    6.mwanaume kamili
    7.mwanaume mwenye akili/uwezo
    8.---------- malizieni kujaza wadau mana sielewi hata kidogo

    kaaazi kweeeli

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 23, 2009

    afu ayo malemba mnayovaa shingoni siku izi,sii ndio hijab za waarabu au waislam wanazoingianazo masjid?

    mh izi fasheni

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 23, 2009

    THERE IS NOTHING LIKE SEXIEST MAN OR WOMAN, NI UZINZI TU NA UBISHOO MNAOUENDEKEZA NYIE WENYE AKILI FUPI.Badala ya kuwaza maendeleo mnawaza u-sexiest! Life is more than sex. You are the sexiest to your husand or wife, BF or GF, you can not be that to the public! IGENI VITU VYA MAANA SIO KILA RUBISH ILI MRADI IMEFANYIKA KATIKA NCHI ILIYOENDELEA. You guys shame on you for participating into such a foolish game!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 23, 2009

    hayo matambara ya shingoni jmani wenzenu tunayavaa huku urusi kwaajili ya baridi na scandinavia countries na huwezi kumkuta mtu kajifunga mtambara kipindi hiki cha summer ,sasa bongo mshabeba imekuwa ni fashion na joto loto lile haya twendeni tu tutafika sie yetu macho

    ReplyDelete
  13. anonys wa2 hapo juu bongo huwa wana COPY na ku PASTE kila kitu ni vituko basi tu kwa joto la Dar mtu anadunda na tambala hilo sijui utamfikiriaje.hamkushangaa wale wanaovaa mabuti ya baridi?

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 24, 2009

    HUU NI UPUMBAVU WA HALI YA JUU..Kwa hiyo creative thinking ndo imeishia hapa??!! tumekwisha. TUSUBIRI "SEND OFF" YA ATAKEYESHINDA.

    mdau chiggs, deslam

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 24, 2009

    Tuna CUT na ku PASTE lakini mbona mnatuzimia na katika anga tunatamba??? Acheni ukulima!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...