Hii ni kazi ya kwanza ya TID na bendi yake ya TOP toka atoke kifungoni ikiwa ni mojawapo ya vibao kadhaa vitavyopamba albamu yake mpya 'Prison Voice'
Home
Unlabelled
Video mpya ya TOP band
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Hii ni kazi ya kwanza ya TID na bendi yake ya TOP toka atoke kifungoni ikiwa ni mojawapo ya vibao kadhaa vitavyopamba albamu yake mpya 'Prison Voice'
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
jamaa yuko fresh mziki poa kabisa yaaan big up sasa utulie uache kupiga watu hovyo... maaan sasa hizi usingeimba hiyo asha bila kutoka prison
ReplyDeleteNyimbo nzuri na Asha amemuonyesha kwamba mapenzi sio pesa.
ReplyDeleteLakini mbona kaimba TID peke yake na sio top band
Dogo TID mziki unauweza big up mwana . kuanzia maneno ,sauti na vyombo vyote vimetulia . tatizo lipo kwenye tabia yako, ya kujifanya mjuaji na mjanja sana ukichangia kubaniwa na maDj na vituo vya redio ndio vinavyokuangusha . dont give up watabana wataachia utafika tu.
ReplyDeletemdau Zee la Bandari Leicester -UK.
Hivi hawa wasichana warembo wa kutokea kwenye video zenu huwa mnawatoa wapi lakini? mbona barabarani hatuonani nao? na tunatafuta wachumba
ReplyDeleteGood work!
ReplyDeleteOnly 0.5% ume-dance. The rest ni maigizo. Lets improve it wabongo hatunyanyuki. Too much maigizo kwenye muziki.
ReplyDeleteMuziki ni kucheza. kwa atakayependa beats, na hajui maneno atakuwa bored sana kwakuwa kuna movie ya maigizo/majuto badala ya muziki
wewe dogo wa Wed Jul 08, 05:20:00 AM hivi huwa unaangalia video za upande gani duniani? kuna waimbaji tele wanaimba bila ya ku-dance.
ReplyDeletewewe mdau wa pili unadhani sauti zote unazozisikia ni za TID?
ReplyDelete