Mzee nani hii ,
Please read this link and you will find that Mount Kilimanjaro is among 28 finalists named in the New 7 Wonders of nature poll.
Bwana Michuzi weka katika Blog ya jamii na mwenye kupenda ku-vote baadaye basi afanye hivyo. Hii tu kuwa katika finally ina tangaza jina la Tanzania na ma-tourists. Link ni hii kwa anayependa kusoma:
Mr. Ally

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2009

    Watu wanataka wauone na wakija tu mnawariza pale Uwanja wa ndege wa Eapot, Sijui kama tutafika Utafikiri atuna serikali!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 30, 2009

    WAOSHA VINYWA TUNAOMBA MTUMIE MUDA WENU NA KWA JAMBO HILI AMBALO NI MUHIMU SANA KWA NNCHI YETU, MAMBO YA WEZI WA AIRPORT BAADAE. TUFANYE UZALENDO JAMANI PLS PLS.


    KIPEPE

    ReplyDelete
  3. Hata hao wageni wakija kuuona huo mlima Kilimanjaro mtawaibia kwanza hapo eapoti. Bora tusipige kura ili tuwanusuru wageni na mizigo yao. Si tuna ustaarabu, Maana bongo ni noma.....

    Mpiga boxiiiiiz mwandamizi!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 30, 2009

    Wewe kipepe wazazi wako walijua ndio maana wakakuita kipepe yaani ubongo kichwa viko tofauti Tanzania tuko mamilioni na tunapata fedha za kigeni toka kwa utalii ndio maana kuna wizara husika wao wanafanya juu ya hilo?wangapia wamewahamasisha?mangapi watanzania wanayafanya kwa dhati wamepata shukrani gani?zaidi kuibiwa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...