KWA NIABA YA FAMILIA YA BWANA MUSSA OMAR BALOLA NAPENDA KUWA TAARIFU NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI KUTAKUWA NA KISOMO CHA KUMUOMBEA MAREHEMU ABDUL HAKIM BALOLA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 09/AUG/2009 SAA TISA MCHANA, MANOR PARK LONDON.

ADDRESS NI HII IFUATAYO
30 STATION ROAD
MANOR PARK,
LONDON
E12 5BT

UKIKWAMA KWENYE UJIO WAKO AU KWA LOLOTE KUHUSIANA NA DUA TAFADHALI PIGA SIMU ZIFUATAZO-
07785297928
07904454609
07828112858
07940168600

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. MWENYEZI MUNGU AKULAZE PEMA PEPONI NA AWATIE NGUVU WAZAZI WAKO KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU

    ReplyDelete
  2. innalillah ...poleni sana ndugu zangu.roho yangu imepata uchungu sana japo siwajui, nilikuwa safari na ndio nimeiona taarifa ya msiba na hii ya dua. poleni sana,

    ReplyDelete
  3. Poleni sana wafiwa, sisi tulimpenda ila mwenyezi mungu kampenda zaidi. Unajua nilipoona huu msiba nimeshituka sana kwani dogo anaoneka intelligent ila ameondoka bado mdogo sana, hii ni da'awa kwa sisi tuliofika umri huu kuwa sisi si wajanja ila ni mwenyezi mungu ndiye mwenye kupanga nani awe vipi. Hivyo tumche mungu kwa kuwa ametujalia hapa tulipo.

    Nina kijana wangu amezaliwa huku Europe so nina wasi wasi sana na tropical desease maana hajawahi kuumwa hata na mbu ila siku moja ni lazima turudi bongo. So ushauri wangu kwa wale tuliopo nje, tukipata watoto tuwe tunawapeleka Tanzania angalau wayazoee mazingira kuliko kusubiri mtu kawa mkubwa mwili haujajenga kinga za magonjwa tropic kama malaria tutakuwa hatuwatendei haki. Sijui chanzi cha kifo cha Abdul ila nimeisema hii kwa kama mzazi mwenye concern ya watoto kama kina Abdul.

    R.I.P Abdul

    ReplyDelete
  4. Maskini, Poleni jamani, naomba kuuliza amefariki na nini huyu mtoto jamani, he is so cute and very sad to have died. Je aliumwa au ni ajali?
    Mungu amlaze mahali pema peponi Amina.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...