Home
Unlabelled
JK azindua Programu mpya ya Kilimo kwanza leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
sasa huu ni usanii na umalizaji muda. lakini wakati huo huo inaleta maana fulani kuwa huyu mama japo mkwe ,inasimamia taasisi inayosimamia maendelao ya wanawake wengi amabao wengi wao ni wanawake wakulima masikini. anondgesze seriousness tu katika kukabiliana na mafisadi.
ReplyDeleteAaah si wangekabidhiana tu wakiwa home!
ReplyDeleteBaba na mama bwana wanamambo!!!!Hicho kijitabu walishakabidhiana tangu jana usiku akakisoma hadi kuchoka eti nyie ndio mnakuja kuonyeshwa saa hizi. Maajabu.........
ReplyDeleteHaya bwana.
ReplyDeleteAH,,nilijua wanawake wanaheshimiwa huku uzunguni tu,kumbe hata huko Afrika wasio heshimika niwakulima tu labda.Duh,, JK amenyenyekea ki kwelikweli.hongera raisi kwa mfano bola wa kuheshimu wake zetu.
ReplyDeleteMama wa kwanza kapendeza ile mbaya. Halafu anafanya kazi ambazo hazijawahi kufanywa na Mama wa Kwanza yeyote huko Tanzania
ReplyDeleteMungu Mbariki SJK (salma jk)
Naomba kuwasilisha
Mtoa mano Aug 03,07:38 acha kutudanganya.kazi hazijawahi fanywa na mama yeyote wa Kwanza TZ mama Anna Mkapa alikuwa anacheza na fursa sawa kwa wote???Msifie ila usiseme ndio wa kwanza tanzania kwa ma first ladies.Hata kama mnamchukia mama Mkapa na mkapa ila sifa zake mpeni mabaya yaacheni
ReplyDeleteMdau
Pittbugh,USA
hivi wanatutania au?
ReplyDeletehawatutanii wala nini kwani we si unaona anakabidhiwa kijitabu? na mizengo shahidi
ReplyDeletekizuriiiiiiii kula na mwenzi wako.
ReplyDeleteNilidhani haya mambo yanafanyika UGANDA peke yake.Kumbe hata Bongo tunapeana vyeo kifamilia.lool
ReplyDeleteduh bongo noma huyu mama si aliku mwalimu jamani pale msasani primary school?ka haka kamchezo hadi raha ngoja nichukue nondoz yangu nitie timu bongo kudadadeki hadi babuyangu kule doda,bamba pankote,anaramba kadili ka ubalozi wanyumba 10 ten ni mshavu tu kwa wadigo wenzangu wote,
ReplyDeletemanikizz,greece
Manikizz! kumbe huyu mama alikuwa Ticha pale Msasani Primary? sikujua niliendaga tuisheni pale wiki mbili nikatema,[it wasn't worth it],thanks for the kahistoria...lol
ReplyDelete