

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Komba kweli limekuwa komba, sijui limejiachia na nene kama Tembo. Komba punguza kula.
ReplyDeleteI SECOND annoy hapo juu...huyu KOMBA asipoangalia ata drop dead kwa heart attack...Please please lose some few lbs
ReplyDeleteNdugu zang kufa ni mapenzi yamungu wangapi wamekufa wakati wanaafya njema kabisa,kuwa mnene sio lazima ni ugonjwa wenginendio maumbile yao.Heart attack anapata hata mtu mwembamba.Wengapi tumewaona wamekufa na wanamuacha Komba kama alivyo.
ReplyDeleteKabla ujamjudge mwenzako jiangalia wewe afya yako kwanza.Na sidhani hapa swala zima lilikuwa ni kujadili afya ya Komba.
MJusi
we annoy wa kwanza umenivunja mabvu kwa kucheka yani acha tu blog hii kiboko lazima utacheka tu lol ila jamani komba mazoezi ni muhimu saana huo sasa ni ugonjwa ndo mana ze comedy hasa mpoki wanakufanya kichekesho mie huwa tumbo linauma kwa kucheka fanyeni mazoeziiiii sio muda woote kwenye malandkruza tuuuu hata mkiwa dodoma badala ya kwenda nyama choma fanyeni jogging raisi wa ufaransa ni mfano wa kuigwa anakula tizi hasa jogging kwa sana tuu ......VITAMBI NI JANGA LA TAIFA.......
ReplyDeletewe mama nanihii kwa nini hiyo ndoo ya maji usijitwike mwenyewe....hivi mnaona ndio maendeleo watz kuendelea kubeba ndoo za maji?
ReplyDeletejamani ni macho yangu au hiyo picha ya kwanza huyo mama aliyelala kitandani na mwanae hakufunikwa vizuri wakati rais anaenda kumsalimia.naona kama kifua kiko nje?? nisaidieni wadau manake macho saa nyingine yanaona double double..
ReplyDeleteMichuzi nadhani mto ni Ruhuhu na si Lituhi kama ulivyoandika hapo juu.
ReplyDeleteHatimaye JK amesikia kilio chetu na kuanza kufanya vekesheni za ndani.
ReplyDeleteAnon wa 4:11pm ni kweli hakufunikwa vizuri i was asking the same question naona ni cultural tena!
ReplyDeleteduu hata mimi nimemshangaa huyo mama alivyoachia kifua wazi, ingawaje amefanyiwa operation lakini asingeshidwa kuvuta hicho kitenge chake akajifunika especially akijua kuna ugeni mzito around the hospital.
ReplyDeleteAnon 04.11 huyo mama kama angekuwa hana maumivu makali angeweza kuvuta hio nguo na kujifunika mwenyewe tu. Lakini ndugu yangu mama huyo amefanyiwa upasuaji na inawezekana ganzi aliowekewa imeshatoka anamaumivu makali sana tumboni huyo mama hapo alipo ndio maana hata kulala amelala hivyo unavyomuona hapo.
ReplyDeleteWewe Tarehe Wed Aug 12, 04:11:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteWazazi Bongo ni kawaid kuwa na matiti nje ili kunyonyesha mtoto. Sio kama ughaibuni lazima ujifunike