akisalimiana na baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa jingo jipya la ofisi ya mkuu wa Wilaya hiyo alhamisi kwenye siku ya mwisho ya ziara yake ya siku tatu mkoani Ruvuma. Nyuma yake ni mbunge wa Namtumbo, Mh. Vita Kawawa
JK akiongea na mamia ya wakazi wa mji wa Songea muda mfupi baada ya rais kukagua kituo cha kuzalisha umeme mjini hapo jana.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. HONGERA SANA MHESHIMIWA JK KWA KUWA KARIBU NA WANANCHI NI LAZIMA WANANCHI WAMJUWE RAIS WAO KWA KUMUONA KWA SURA LIVE NA SIO KUMUONA KWENYE NOTI TU, NAKUMBUKA MAISHA YANGU YOTE NIMEISHI HAPO NYUMBANI SIJAWAHI KUMUONA MWALIMU JK NYERERE LIVE MPAKA SIKU ALIPOKUFA NDIO NIKAMUONA MAITI YAKE PALE UWANJA WA TAIFA WA ZAMANI,UKIWA KIONGOZI WA RAIA NI LAZIMA UWE RAFIKI NA WANANCHI WAKO SIO KIONGOZI MNAMUONA KWENYE TV TU AU MAGAZETI ZAMANI HATA KUTAJA JINA LA RAIS UNAOGOPA LAKINI SIKU HIZI KWA KIKWETE MAMBO SIO HIVYO ANAWAIBUKIA LIVE MPAKA WALIO VIJIJINI...mdau uholanzi

    ReplyDelete
  2. Ungetoa sita au kumi JK ingekuwa bora kwani ungewasalimia wengi zaidi. unajua kwamba ni hao hao ndio watakuweka ofisini mwakani? Mimi kura yangu nshakupa tangia (tangu) jana, lakini hao hapo unatakiwa uwape kumi kabisa kwani hawajukuona huko tangu uliposhika ile biblia (koran) kuikubali na kuitumikia katiba ya Muungano wa Tanzania. Mungu akubariki JK (oo nimekumbuka namba ya kiselula vipi). Nataka nikutonye mambo yanavyokwenda kwenda kila kona ya nji hii, ili tutafute msemo wa kutumia kwa ajili ya kampeni ijayo. Nitumie hicho kiselula tafadhali. Michu mdogo wangu, natoa hoja (MH)

    ReplyDelete
  3. Bongo choka mbaya vijijini! Kuna kazi kubwa sana nchi inahitaji lishe bora naona wananchi wanatia huruma afya hairidhishi kabisa! Ni mijini tu watu ndo mna afya nzuri kwaajili ya kula nyama choma lol!
    Mdau USA

    ReplyDelete
  4. Mdau wa Kigoma.August 14, 2009

    hivi serikali mbona imetusahau sisi watu wa mkoa wa kigoma?au sisi sio watanzania? mbona kodi zinakusanywa kila siku?lakini hakuna maendeleo yoyote?hi sasa ni mwaka unaisha hatuna umeme tunatumia vibatali, mpaka Tv, frigde, zimepata bvumbi!mpaka kucharge sim ni Sh 300! wakati tuna mito mikubwa hapa kama Malagalasi, na Mto Lwiche ambayo inaweza tumika kama vyanzo vya umeme. huu ni uhuni tunafanyiwa.au serikali inataka watu wote tuje tujazane Dar es salama? na sisi tukumbukwe kwani sisi pia watu!

    ReplyDelete
  5. Mh!!! uchaguzi umekaribia ndo na tanzania vijijini kunaendeka siku hizi, make uchaguzi ukiwa mbali mawazo yote yanakuwaga mamtoni

    ReplyDelete
  6. MICHUZI TUSAIDIE WIZI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA EAPOT DAR, MBONA SASA WANAPITILIZA, KWELI HAKUNA HATA KINGOZI ANAYE JARI?

    ReplyDelete
  7. ahh vasco dagama huyoo,oba kura baba uwee kulaaa...2010 sio mbali komandoo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...