Home
Unlabelled
madame ritha atangaza 10 bora wa bongo star search
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Madame? Neno lina utata hilo.
ReplyDeletehata mie naungana na mdau hapo juu, hiyo title ya madame ina utata. siju kwa bongo ila kwa UK kuitwa madam (Dame) before your name lazima u-earn hiyo title.sio tu unaamka na kujiamulia kujiita madam..
ReplyDeletenway, kama kaka michuzi anavyotuhabarisha kuwa bongo tambarare, kila kitu chawezekana pia...
Kuna uvundo wa hisia za BSS 3 kumuandaa kelvin kuwa mshindi wa mwaka huu. judgement zao zinamproject waziwazi. hata kama wanataka ashinde basi wasionyeshe wazi wazi. we know it is business lakini kuna kaharufu ka upendeleo wanapojaji.
ReplyDeletenyie hapo juu sio mnashoboka tuuu madam rita hakujipa hiyo a.k.a ni hao hao washindani wake wa bongo star ndo walombatiza madam rita tena wale wa kwanza wakati hii kitu ndo inaanza walianza ka masihara ndo ikakolea mbona kuna mdada hapo dar anajiita pussy???
ReplyDeleteNakuunga mkono Anon 12:06 kuhusu maandalizi ya Kelvin kuwa mshindi. Kwanini wasiache watazamaji waamue nani mshindi. Kwanini kutuongoza kwenye kuchagua nani mshindi kwenye haya mambo ya kuigiza kuimba?
ReplyDeleteKweli kabisa kelvin mbati keshaandalia kuchukua gari wengine ni wasindikizaji tu. upendeleo unaonekana wazi, mtu huitaji kuwa mganga wa kienyeji (kupiga ramli)kuliona hili. kuna kijana (simsemi) kamfunika kelvin lakini kelvini anaonekana nyota yake imewaka. hongera zake kelvin.
ReplyDeleteJamani tuache ubishi ni kweli Kevin Mbati ataimba vizuri na anajua anachokifanya. Hakuna kusema majudge wanamfagilia wala nini waulize watanzania watawajibu.
ReplyDeletepale mtu anapokuwa anatenda mambo mazuri jamani tumsifie sio kumasaga.
Kweli watanzania hapo tunashangaza sana sana!
Maeneo ya Las Vegas madame ni mama mwenye danguro au mmiliki wa biashara ya ukahaba.
ReplyDelete