

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mwanza kumekucha kweli, ila walioiba hizo solar panels sii wajanja ni wajinga!
ReplyDeletekelvin, uk!
AAAAAAAAAA Bwana Nanihii hapo umekosea sana hao walioiba wana ujanja gani wa kujiibia wenyewe??? Hao ni wapumbavu kwa maneno mwingine.
ReplyDeleteMzawa
Sio wapumbavu bali ni wajanja,,kuliko wabomoe majumba ya watu! nafuu waibie serikali .Kwasababu hata ndani ya serikali yenyewe ufisadi umezidi.
ReplyDeleteMichuzi hayo ndio maneni jiji linapendeza lete mengi mapya
ReplyDeleteMkulima
MICHUZI UNATUMIA LUGHA YA KUHAMASISHA NA KUDUMISHA UJAMBAZI..HUWEZI SEMA WAJANJA AU VIJANA WA KAZI.TUNGEWAITA WEZI WAPUMBAVU INGEKUWA INALETA MAANA.TUNAENDELEA KUZUBAA TU MWISHO WATAIBA IKULU NASI TUTAENDELEA KUSHANGILIA NA KUWASIFIA!
ReplyDeleteMAFUNDI WALIOZIWEKA NDIO HAOHAO WALIOZIIBA KWANI WAO NDIO WALIOZIFUNGA KIUJANJAUJANJA ILI IWE RAHISI KUZIFUNGUA.
ReplyDeletewalioiba ni watoka Dar tafadharini polepole huko ndiyo kila aina ya uchavuzi wa khali ya hewa umejaa,we anonymous wa kwanza nyie ndiyo mnazomeshwa bure kwa hongo be careful vitu gani unaandika na kushangilia bila sababu je kama ndiyo ndugu zenu wameiba.
ReplyDeletegrolia padmore,the colony texas
Kwa kweli huyu anaesema ni bora kuiibia serikali sijui ni mfananishe na nini.. Hii ni sawa na Kumuibia mkeo ukaenda kununua pombe au kupeleka chakula nyumba ndogo maana watoto wako ndio watakao kufa njaa...
ReplyDeleteSerikali haipati hela kwa Mungu bali kutoka kwako wewe na mimi na wananchi wote.Hivyo kuiibia ni sawa na kujiibia mwenyewe....na pengine ndugu yako ANAWEZA KUGONGWA HAPO HAPO NA WEWE TAA UMEIBA SASA UTAMLAUMU NANI???
KWELI KUSOMA SI KUELIMIKA!
Mzawa!!
Nakumbuka sana miaka ya 80s and Pamba ikishinda basi wachezaji maarufu watajiania hii sehemu
ReplyDeletewell Mwanza --- Mwanza naona picha pamebadilika sana == I love MZA
mimi RR
Wenzetu wanasema kuwa moja ya vipimo vya nchi masikini ni uwepo wa taa za barabarani. cc tunashangilia.
ReplyDeleteMiji iliyopangwa vema huwa haitumii teknolojia ya kale ya mataa. Inabidi kuwe na tunnels yaani handakis, sana sana roundabouts. Mambo ya mataa yamepitwa na wakati, kwani husababisha magari kusimama na mafoleni yasiyo na mpango. Wajameni tuache huu upwefu na kufungua macho.