Home
Unlabelled
ppf plaza, mwanza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii itakuwa ya kwanza, hakuna hoteli nyingine mwanza yenye hadhi ya nyota tano. Nyingine zote ni kama "big guest house"
ReplyDeleteUtaalamu wa kujenga kwenda juu, juu, juu, wa kwenda chini hauhitaji nguvu zako, siku hiyo utajengewa au sio. Tumshukuru Mungu kwa yote haya kwani ni neema, na baraka zake!
ReplyDeleteMichuzi pole na kazi nasikia Askofu wa katoliki Mwanza amefariki
ReplyDeleteanony wa kwanza hapo juu acha ushamba wako mwanza kuna hotel ambazo si kiwango cha nyota tano lakini huwezi ziita big guest house
ReplyDeletehotel kama mwanza hotel, tilapia hotel, ryans bay, nyumbani hotels, nenda kwenye website zao uone
Anony wa kwanza sio kosa lako, umezaliwa Rukwa dar umekuja chuo, hujatembea sehemu nyingine zaidi.
ReplyDeleteNyie PPF ebu sasa fikirieni na sisi wadau (wachangiaji wa mfuko) kutukopesha hizo pesa. Sio kuwekeza kwenye majengo tu, bila ya kutuuliza wahusika, nyie vipi? Sisi wadau tunafadikia vipi na hiyo mi 5 star hotel? Miradi ya nyumba nafuu mikoa mingine vipi?
ReplyDeleteMnakera bwana!
Big up PPF ninawakubali kwa kujenga majengo yalioenda shule.Hili jengo limebadilisha kabisa taswira ya jiji la Mwanza.
ReplyDeletenaona ma-bugando yanaongezeka mwanza!
ReplyDeletepoa safi sana
ReplyDeletejapo tupate kwa kupumzika,tatizo hotels mwanza karibia zooote ziko centre kelele za watu na magari nk nk,ilhali kuna beach kuuubwa sana hazitumiki
fikirieni kujenga beach jaman
ukibishana na mjinga balaah kwelikweli na kazikubwa waliochanga pesa ni wengine waojikuna na majipu namapunye ni wengine if you have gone real to school why don't you start your own project instead of gossip and be street mongers
ReplyDelete