meeting fellow ex-college mates you have lost,

meeting and greeting people,

increasing networking among ex udsm students


YOU ARE ALL INVITED

CU THERE COME FRIDAY!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Mimi nilisoma Chuo Kikuu cha Dar, 1973-78. Nimekerwa na utovu wa nidhamu katika lugha iliyotumika katika tangazo hili. Kama kweli tumesoma, tuonyeshe mfano bora.

    ReplyDelete
  2. Nilisoma hapo na nikafuzwa wakati ule wanamtandao walipomtukana Rais matusi ya nguoni. Kwa sasa nipo mtaani nabangaiza, je naweza/nastahili kushiriki?????

    ReplyDelete
  3. Hapa kinachofanyika ni biashara tu ya kukusanya hele za viingilio. Hakuna chochote cha maana. Tafuteni biashara za maana si kukusanya tu viingilio vya minuso. Biashara hizo waachieni watu ambao hawajasoma UDSM wafanye. Wasome gani nyinyi?

    ReplyDelete
  4. Sasa kwa nini mnawaita X? Watu na mashahada yao kweli waitwe x!!! that's low

    ReplyDelete
  5. Sisi wasomi tumezoea kualikwa kwenye forums na workshops mbalimbali zenye kuleta tija kwa taifa hili lenye matatizo kedekede..Tene hayo hufanyika bure kabisa! Wasomi pia wanapotaka kuburudika wanajua pa kwenda....umechemsha!

    ReplyDelete
  6. kaka uliesoma chuo mwaka 73-78 nadhani utakubaliana na mimi kuwa lugha hiyo katika matangazo inaruhusiwa sana tu yote ni katika kuboresha na kurembesha tangazo,so sioni kosa walilolifanya hapo, hata mimi nimesoma hapo hapo nitakuwepo siku hiyo nikawaone marafiki zangu wa mwaka jana nimepoteana nao sana tu.

    ReplyDelete
  7. hapa umechemsha kwani UDSM wamepita wanafunzi wengi......sasa hapa ungeongelea reunion za faculties sio wote waliopita UDSM....

    ReplyDelete
  8. mi nafikiri jamaa wako sawa sawa kabisa coz si rahisi kwa watu waliomaliza kukutana,ni kitu kizuri sana kwa kweli i give u guys a full suport u knw something like this is very interesting, i wiill definitely be there so vp zito kabwe nae atakuwepo si amepita hapo?

    ReplyDelete
  9. ebwana jaka thats fantastic....u guys have all my support....mi ntakuwa pale.......

    ReplyDelete
  10. aisee hiyo ni lugha ya matangazo tu inaelekea ulisoma engnring u dont know about marketing comm and socialization. ila usijali taratibu tu utaja elewa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...