Home
Unlabelled
wodi ya wazazi iliyojengwa na vodacom yazinduliwa ludewa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Akina mama wanosubiri kujifungua siku hizi hucheza ngoma?????? Asalleee!!
ReplyDeleteakina mama wajawazito wanatakiwa kufanya mazoezi, kama mazoezi hayo yamekuja katika mfumo wa kucheza ngoma sio mbaya alimradi tu ngoma hiyo haihatarishi afya yao na ya viumbe walivobeba!!
ReplyDeleteNImefurahi kuona something kimetokea Ludewa
ReplyDeleteNi wilaya iliyo nyuma sana kimaendeleo Tanzania hivyo mashirika mengi zaidi yapige kambi huko kusaidia
Vodacom mmefanya jambo kubwa sana kuisaidia Wilaya hiyo
Ndio wilaya niliyoanzia kazi serikalini na niliona real life ya mtanzania na ugumu wake
Wilaya inahitaji more and more support
Pindi what happened mbona umenenepa hivyo?u had a great body d au ndo uheshimiwa?salimia Norman.
ReplyDeletemna akili sana...
ReplyDeleteata mie nna mpango wa kusaidia uko kwetu asa wilaya za makete na ludewa
asante
Makete haihitaji msaada toka Vodacom. Makete inahitaji sensitization tu ya wenyeji wake waliotapakaa Mwanza, Mbeya, Kariakoo, Songea Makambako na wote hao ni wenye biashara kubwa za kwenda Dubai, China na Japan na vile viel wanamiliki majumba ya uhakika.
ReplyDelete