Home
Unlabelled
aisha madinda arudi kwenye fomu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
MMM..naye fuska tu. HANA CHA UNENGUAJI WALA NN.ANATUTEGA TU ATUINGIZE MATATIZONI.
ReplyDeletenampenda sana huyu dada ,hata nikisika anaumwa roho inaniuma sana,anajua kucheza mno wala hatumii nguvu ,yeye pamoja na internet
ReplyDeleteyote 9 ila machozi band iko juu!
ReplyDeleteMichuzi Usibanie maoni yangu..yana nia ya kujenga Bendi yangu niipendayo ya Twanga Pepeta.
ReplyDeleteTangu mkurugenzi wa bendi Mrs Asha Baraka alipoamua kujishughulisha na siasa badala ya kuendeleza biashara hii anayoijua vema kuliko yoyote Tanzania, Twanga Pepeta imeafulia sana.
Nilienda kuwaona Twanga Pepete kwenye kumbi mbali mbali Dar kati ya mwezi wa May na Septemba; nimekubali mwenyewe japo kwa shingo upande kuwa Twanga hawana tena mvuto. Hawana uburudisho waliokuwa nao zamani, nyimbo zao ni kiwango cha kawaida sana, sio kama zamani...na zaidi ya hayo nyota wao wa unenguaji Aisha Madinda alikuwa amenenepa (ana haki ya kujiachia) ila uongozi wa bendi ulijisahau kumuandaa mnenguaji mwingine kuchukua nafasi yake...namna hiyo bendi nzima inakuwa haina pengo.
Hayo hayajafanyika matokeo yake ni kumsubiri Aisha Madinda "arudi kwenye fomu" itakuwaje iwapo akiamua kuhamia bendi nyingine.??!!
Asha Baraka, achana na siasa Uongozi wa Bendi unauweza vema...hiyo biashara ina nafasi ya kukuletea mafanikio kuliko siasa uliyoikimbilia. Na utakubaliana na mimi kuwa Siasa inakugharimu badala ya kukuingizia hela kama Twanga Pepeta ilivyofanya kwa miaka mingi sasa.
Mimi kama mpenzi nataka kuiona Twanga Pepeta ile iliyonifanya nipende mziki huu.
Kwani alikwenda wapi???
ReplyDeleteJamani huu mpini sio mchezo, kama unakutana nae faragha lazima uwe umejiandaa vya kutosha la sivyo unaweza kuadhirika mzee mzima.
ReplyDeleteDuh bora karudi tulimmiss sana huyu dada.
ReplyDeleteHuyu dada mkali namfagilia ile mbaya
ReplyDeleteMdau UK
Tuache unazi wala nini. Twanga pepeta ya sasa inatisha. I mean baada ya kutoa album yao mpya ya mwana dar es salaam iko juu sana. Kama unabisha nenda siku za jumapili leaders na TCC Club
ReplyDeleteuone wanavyojaza umati na usikilize wadau wanavyoizungumzia na kuburdika nayo
Mimi nadhani uongozi wa TwANGAPEPETA UKO IMARA KULINGANSHA NA BENDI ZOTE, NA NDIYO MAANA IMEWEZA KUHIMILI USHINDANI MKUBWA ULIOKUWA UMEJITOKEZA KUTOKA BENDI ZA WAKONGO YAANI FM ACADEMIA NA ACUDO. KAMA SI UONGOZI MAKINI WALIKUWA WAMEPIGWA BAO, LAKINI WANAONEKANA NGANGARI NA KUWA JUU ZAIDI. NI HUO UBORA WAO WA KUTOTETEREKA NDIYO MAANA WAMERUDISWA TENA KUPIGA CLUB BILICANA BADALA YA AKUDO NA FM ACADEMIA WALIOKUWEPO AWALI
ReplyDeleteHayo maneno safu ya AISHA MADINDA, Lilian Internet na Super Nyamwela si mchezo wanapoamua kulshambulia jukwaa. Wananikumbusha enzi za Bilbums hapo hapo BILICANAS. I think it is worth going tommorrow wednesday
ReplyDeletekaka michuzi naomba mawasiliano ya aisha madinda plizzzz.
ReplyDeleteMdau-Ukerewe!!!
Mdau juu kauliza alikuwa wapi?. JIBUI. Aisha alikuwa mgonjwa kipindi fulani, so hakuwepo ulingoni kwa muda, na hata aliporejea alionekana kuwa mnene sana na akawa mzito kwenye unenguaji. Sasa ile shape yake ya mvuto ya umodo modo imemrejea na amekuwa mwepesi sana wa kunengua kama zama hizo. Ni tishio kwa kweli kwa wanenguaji wa kike
ReplyDeleteGOOD SIDE OF TWANGA PEPETA YA SIKU HIZI INAJIUZA YENYEWE KAMA TWANAGA PEPETA NA SIYO MAJINA TENA KAMA VILE ENZI ZA KINA ALLY CHOKI. SIKU HIZI AILYE STAR NA ANAYEKUBALIKA NI TWANGA PEPETA YENYEWE AS A GROUP NA HAKUNA CHA CHOKO,BANZA SIJUI THABIT ABDUL. WANAONEKANA, THEY WORK AS A TEAM. BRAVO
ReplyDeleteukweli ni kwamba wamejiimarisha zaidi,bado wako juu,na hapa tanzania hamna bendi yenye wanenguaji tishio kama hii,
ReplyDeletemimi napenda sana muziki wa dansi especially hizi hizi bendi zetu za tanzania,ninaingia mara nyingi bendi zote,
FM ACADEMIA,huwa wana kelele sauti za juu sana,na vyombo vyao VINALIA KAMA VINA KELELE
ACUDO NI WAZURI SANA KATIKA SAUTI NA MIDUNDO,ILA WACHEZA SHOO WAO WA KIKE NI WAGUMU HAWAKATIKI VIZURI
TWANGA NI WAKALI IDARA ZOTE
TATIZO I DOGO TU MAMA LWIZA AKIIMBA ASIPANDISHE SAUTI YAKE NI YA JUU NZURI LAKINI ASIIPANDISHE SANA INAKUA INAZIDI
nawasilisha
Naambiwa shoo ya Twanga Pepeta ya Juzi Jumatano Bilicanas ilikuwa ni hatari, kwani kulifurika watu kutoka kila pembe na warika zote. Nasikia Management ya Bilicanas imekiri kuwa tokea Bilicana ifunguliwe upya baada ya ukarabati wa sasa hakuna bendi kabla iliyowahi kuingiza watu wengi kama Twanga walivyoingiza ile juzi. G0 GO TWANGA zidi kutupa raha wabongo tujisikie. Ila msije mkabweteka kama mlivyowahi kufanya huko nyuma. NINAWAASA SANA SANA, manake mgema ukimsifia huzidisha maji kwenye mnazi
ReplyDelete