
AY kaiambia globu ya jamii kwa njia ya twitter sasa hivi kwamba yeye kama kawaida yake hana show kubwa wala ndogo na kwamba show zote kwake ni muhimu hivyo anajiandaa kwa makamuzi ya nguvu. Amesema huenda kwa vile kesho wanaingia vimwana katika mjengo wa BBA ndio sababu zilizosogeza mbele shoo yake
hata hivyo kasema baada ya sauzi ziara yake ya Malaysia ambako atakuwa na show jijini Kuala lumpur September 24, mwaka huu ndani ya klabu cha Titunium ipo pale pale . Pia ataporejea anatarajiwa kutoa singo ingine mpya iitwayo 'Bed & Breakfast' ambayo imetayarishwa na Hermy B wa B. Hitz Studios.
Wakati huo huo AY anawakumbusha wadau wote popote walipo hapa bongo kumpa taffu kwa kumpigia kura katika tuzo za Mtv Africa. Kumpigia kura andika 'BHH AY' kisha tuma sms kwenda namba 0789 777 333
Habari au Tangazo hili kaandika mzungu nini?? Mbona Kiswahili kibovu sana, halafu AFTER nyiingi, au mwandishi vidole vilikuwa na kwikwi?? Sitaki kuamini kuwa Tangazo hili kaandika, Michuzi, HammieB wala AY mwenyewe.
ReplyDeleteKila la kheri mzee wa Commercial.
Bro Michu, September 4 imeshapita
ReplyDeletewabaya wapo huku nje wala sio tanzani walioko nje ndio wana kosoa mambo ya wabongo wenzao wanajiona wao hku ulayawana jua kila kitu.
ReplyDeletembona hatumuoni kwenye twitter, jina lake nani humo.
ReplyDeleteHuyu AY ameahirisha kwenda huko South ili kujinoa na kidhungu au kuna sababu nyingine. Nahisi haitakuwa tofauti sana na kanumba maana wabongo wengi kiinglishi ni matatizo.
ReplyDeleteWe hapo juu nini kujishaua ati wabongo wengi english hawajui...angekuwa mchina hapo intepreter wold have been in board..na asingeongea english yao..why not kwa Kanumba??? Its true hakuwa anaelewa maswali since hajui kingereza ...wangetafuta mkarimani....usifikiri kila mzungu ni padriii...wapo wazungu pia hawajui kingereza tena ni wengi tuuuuuuuuuuu.Acha ushamba
ReplyDelete